Bibi wamo

wala sio m'bibi......maisha tu ya kijijini.....kama hao ni watoto wake........
 
school bus hyo.. soma vzur utaona imeandkwa st.. nadhan jina halionekani
 
aonekana ni mama na wanae. umenikumbusha ifakara
 
wala sio m'bibi......maisha tu ya kijijini.....kama hao ni watoto wake........

Mi nadhani maisha ya mjini ndio yanatumaliza huyu bibie anaweza dunda mpaka 120 yrs hata kama ngozi imechakaa body systems are in perfect condition.
 
safi anawahi clinic na wanawe, wakati baba anapiga ulabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…