bibi na usafiri mbagala!!!!

msani

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2011
Posts
1,800
Reaction score
1,194
[h=6]Wakati watu wanagombania kupanda kwenye basi la mbagala kama kawaida yao,

bibi mmoja alipanda bila shida akapata siti. Baada ya muda konda akamuuliza "bibi

unalia nini sasa?" Bibi akajibu "miaka yote 25 nliyoishi Mbagala sijawahi pata siti"
...

konda akanena "bibi pisha siti hapo umekaa ya dereva."[/h]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…