josephmazuri
Member
- Mar 24, 2024
- 27
- 34
- Thread starter
- #21
Saw saw mkuuUza vitabu,pambano kuu, Daniel na siku zetu, lesson nk!



Saw saw mkuuUza vitabu,pambano kuu, Daniel na siku zetu, lesson nk!



M naona ni vyema kufanya biashara ya kula au unasemaje mkuuViazi
Mihogo
Magimbi
Mtori wa Ndizi
Chai ya Viungo vya asili sana sana Chai ya Mtama
Ndio ingawa wana kawaida ya kujipikia wenyewe Chakula chao wao km waoM naona ni vyema kufanya biashara ya kula au unasemaje mkuu