Ndugu biashara hiyo inaweza kukulipa kama wewe unaamua kukaa na kukusanya hela....au uwe unakatisha shughuli zako three times in a day ku-monitor wafanyakazi(dereva na konda). Nimefanya biashara hiyo miaka 4. Nilikuwa na mabasi yanayohudumia Mbagala Ubungo, Mbagala Kariakoo na Mbagala Tandika...but niliishia kuuza mawili kwa throw-away price baada ya kutiwa hasara mara, dereva anaweka day worker,akisha pata fungu lake anaweza ku-egesha na jioni anakwambia ameshinda garage, nimekamatwa n so many execuses! Mimi ni mtu wa kusafiri pia, na sometimes madereva wakimdanganya mrs wangu hatujapata hela, na sometimes kama upo nje ya nchi ndo kabisa. Nilikuwa nikisafiri sitaki wajue, still, wanapokabidhi hela wanawezaa kuhisi haupo. So inalipa tuu, endapo wewe mwenyewe utakaa, au una mtu dependable kuwasimamia