mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 473
- 1,448
Magendo, Kuuza unga au ndaga, uchuuzi wa housegirls, udalali wa viwanja na nyumba, kilimo cha bangi, kuchoma chpsi na mishikaki, mama ntilie, etcNipo wilayani nafanya biashara 2.moja Ni ya kununua na kuuza mifugo, hakika sijawahi lipa Kodi, 2. Biashara ya chuma chakavu hii ina usumbufu mwingi, vibali polisi , rushwa , kutishwa tishwa, nataka kuacha niambie Ni biashara nyingine ipi ipo free from tax nifanye
Kujiuza i mean kama we mwanamke kuuza Mbunye.Nipo wilayani nafanya biashara 2.moja Ni ya kununua na kuuza mifugo, hakika sijawahi lipa Kodi, 2. Biashara ya chuma chakavu hii ina usumbufu mwingi, vibali polisi , rushwa , kutishwa tishwa, nataka kuacha niambie Ni biashara nyingine ipi ipo free from tax nifanye
Wewe sio mfanyabiashara, bali mtafuta riziki. Mfanyabiashara anaelewa kabisa kuwa kodi ni sehemu ya biashara, hivyo atatafuta namna ya kupunguza kodi.Nipo wilayani nafanya biashara 2.moja Ni ya kununua na kuuza mifugo, hakika sijawahi lipa Kodi, 2. Biashara ya chuma chakavu hii ina usumbufu mwingi, vibali polisi , rushwa , kutishwa tishwa, nataka kuacha niambie Ni biashara nyingine ipi ipo free from tax nifanye
Dunia ya utandawazi Ina fursa sawa kwa wote, kuna wakina aunty Raphael pia wanauza.Kujiuza i mean kama we mwanamke kuuza Mbunye.
Juzi nimepitia sehemu wanauza majeneza, kuangalia wauzai wamenyong'ontea kama ishara ya kukosa wateja. Kimoyo moyo nikawa najisemea hivi wale wakipo watakuwa wanatamani watu wade Ili wapate wateja.Kuwa supplier wa majeneza mkuu
Umenena vyemaWewe sio mfanyabiashara, bali mtafuta riziki. Mfanyabiashara anaelewa kabisa kuwa kodi ni sehemu ya biashara, hivyo atatafuta namna ya kupunguza kodi.