amanikahamb
Member
- Dec 14, 2021
- 7
- 8
Samahani wakuu naomba kuuliza kuhusu biashara ya phone accessories kwa mwenye uzoefu inahitaji mtaji kiasi gani na vitu gani muhimu kuanza navyo.
Ushauri mzuri sana, halafu pia aangalie sehemu iliyo changamka ndio aweke goli hapo kama aitaji kutembeza.Mkuu,
Mtaji ni ulichonacho mtaji wowote unaweza kuanza na hata kama ni laki 1
Vitu muhimu ni;
Glass protectors
Cover za simu
Chargers
Earphones
Batteries
USB
Memory card
Flash
nk
Unaweza kuchukua idadi kutegemea na mtaji wako.
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
sante mzeeeMkuu,
Mtaji ni ulichonacho mtaji wowote unaweza kuanza na hata kama ni laki 1
Vitu muhimu ni;
Glass protectors
Cover za simu
Chargers
Earphones
Batteries
USB
Memory card
Flash
nk
Unaweza kuchukua idadi kutegemea na mtaji wako.
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Nakubali mzeeUshauri mzuri sana, halafu pia aangalie sehemu iliyo changamka ndio aweke goli hapo kama aitaji kutembeza.
ohooo ni vp kuhusiana na faida kama unauziefu japo lazima nikutane na wadada live nipate taarifa kamiliVilevile itakupasa utapate taarifa sahihi kuhusu ubora wa vifaa vya simu unavyotarajia kuvifanyia biashara kuendana na wateja ambao unawalenga.
Soko la vifaa limejaa vifaa vyenye majina ya "brand" tofauti za simu, vipo vyenye bei ndogo na kubwa, vipo ambavyo ni maarufu na zisizokuwa maarufu pia, vipi ambavyo ni "favourite" kwa vijana, lakini changamoto kubwa sokoni ni ukweli ya kwamba vipo ambavyo ni "original" na vipo "fake" pia.
Muongozo ameshapewa kilichobaki ni yeye kuingia kazini.Ngoja waje kukupa muongozo...
hahahahaMuongozo ameshapewa kilichobaki ni yeye kuingia kazini.
Au sio mkuuhahahaha
nakubali mzeeAu sio mkuu
Hivi hizo sehemu zilizochangamka hua zipo wazi zinasubiri wewe uje? Na je hiyo kodi ya pango na anaanza biashara ataiwezaUshauri mzuri sana, halafu pia aangalie sehemu iliyo changamka ndio aweke goli hapo kama aitaji kutembeza.
Mkuu sehemu zipo nyingi mno kumbuka hili ni nchi inayoendelea wafanyabishara ni wachache kuliko wahitaji.Hivi hizo sehemu zilizochangamka hua zipo wazi zinasubiri wewe uje? Na je hiyo kodi ya pango na anaanza biashara ataiweza
Na kuhusu kodi ye hapangi chumba bali anatengeneza ka meza fulani hivi ka kuweka na kuning'iniza bizaa zake ako ka sehemu akawezi zidi 10 au 15 kwa mwezi.Mkuu sehemu zipo nyingi mno kumbuka hili ni nchi inayoendelea wafanyabishara ni wachache kuliko wahitaji.
Tunasubiri majibuSamahani wakuu naomba kuuliza kuhusu biashara ya phone accessories kwa mwenye uzoefu inahitaji mtaji kiasi gani na vitu gani muhimu kuanza navyo.