Biashara yenye pesa nyingi huwezi ikuta ikipambanuliwa mitandaoni hata siku1

Napoleone

JF-Expert Member
Apr 11, 2012
10,086
15,958
Yaani ukiona biashara flani inafundishwa sana kwamba watu wengne wafanye ujue haina hela hiyo.

Hata kama ina hela bas ni vijihela

We ushawai waona wahind au waarab wanahangaika et mitandaon huko...

Biashara zenye pesa huwa zinapigwa kimya kimya ili watu wasiwe weng kwenye soko

Uzi tayar
 
Yaan ukiona biashara flan inafundishwa sana kwamba watu wengne wafanye ujue haina hela hyo..

Hata kama ina hela bas ni vijihela

We ushawai waona wahind au waarab wanahangaika et mitandaon huko...

Biashara zenye pesa huwa zinapigwa kimya kimya ili watu wasiwe weng kwenye soko

Uzi tayar
Kwahyo tuache biashara ya vijihela tutafute ambayo haitangazwi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaan ukiona biashara flan inafundishwa sana kwamba watu wengne wafanye ujue haina hela hyo..

Hata kama ina hela bas ni vijihela

We ushawai waona wahind au waarab wanahangaika et mitandaon huko...

Biashara zenye pesa huwa zinapigwa kimya kimya ili watu wasiwe weng kwenye soko

Uzi tayar
Hakuna jipya chini ya jua

Labda ungesema waliofanikiwa uwa hawaelezi kila kitu kuhusu mafanikio yao
 
Yaan ukiona biashara flan inafundishwa sana kwamba watu wengne wafanye ujue haina hela hyo..

Hata kama ina hela bas ni vijihela

We ushawai waona wahind au waarab wanahangaika et mitandaon huko...

Biashara zenye pesa huwa zinapigwa kimya kimya ili watu wasiwe weng kwenye soko

Uzi tayar
hahaha mbavu zetu
 
18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom