King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,692
- 68,674
Waliofanikiwa wengi walipiga biashara haramu au ufisadi baada ya hapo ndipo wakatakatisha pesa na kuiweka kwenye channel za ukweli.
Molasses ni Nini mkuu?Ushaambiwa hazisemwagi. Nawezaa kupa moja ukahangaike nayo...tafuta molases kokote ilipo wauzie viwanda vya pombe..utapiga hela sanaa...
Raw material inayotumika kutengeneza alcohol...wauza gongo wanaitafuta hyo balaa .ndomana nimekwambia ukiipata hyo chain.you are a milionea.ila ndo hvyo..ina vibali ving sana had wakuruhusu kuifanya..kimagendo ndo hvyo wasikudake tu wenyew.askarMolasses ni Nini mkuu?
QnetYaani ukiona biashara flani inafundishwa sana kwamba watu wengne wafanye ujue haina hela hiyo.
Hata kama ina hela bas ni vijihela
We ushawai waona wahind au waarab wanahangaika et mitandaon huko...
Biashara zenye pesa huwa zinapigwa kimya kimya ili watu wasiwe weng kwenye soko
Uzi tayar
SwadaktaUko sahihi hakuna dili ya pesa nyingi mtu atakwambia kirahisi rahisi..
Kifupi huwa hatuongei muda wa kula!
Ni mabaki yanayotokana baada ya kutengeza sukari,jina lingine sukari guru.Molasses ni Nini mkuu?
Mpaka ushibe ndo utaongea mkuuUko sahihi hakuna dili ya pesa nyingi mtu atakwambia kirahisi rahisi..
Kifupi huwa hatuongei muda wa kula!
Ongeza na ferry mbili zinazoenda Zenj kila siku,Biashara za bakhresa
Ice cream
Nazi
Maziwa
Maandazi
Chapati
Mkuu hizo biashara huwa hazifundishwi?
Kama sie wauza majenezaYaani ukiona biashara flani inafundishwa sana kwamba watu wengne wafanye ujue haina hela hiyo.
Hata kama ina hela bas ni vijihela
We ushawai waona wahind au waarab wanahangaika et mitandaon huko...
Biashara zenye pesa huwa zinapigwa kimya kimya ili watu wasiwe weng kwenye soko
Uzi tayar
Hio biashara huwezi kuanza na mtaji wa mawazo. Hilo pipa tu kuuziwa ni shughuli 😂Ni mabaki yanayotokana baada ya kutengeza sukari,jina lingine sukari guru.
Kuna jamaa anawauzia wauza gongo ukifika kwake utafikiri upo kiwandani ana mapipa zaidi ya 200,ana madumu zaidi ya 1000, ana fuso 4.