Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,144
- 166,076
- Thread starter
-
- #141
Get well prepared, tuakuiba, tukakufuge. Ndume mpya anasemaje? Akiwa na wivu tutachomwa mishale. Kama si ya kimasai, Basi ya ki Kigwangala. Maana alikalishwa kwenye vibuyu kusafishwa mchana kweupeeeeHahahahahahha.....nawakumbuka mno...yaan nyie bwana..dah..haya karibu
Naisubiri kwa hamu na shauku kubwa. Kama kuisubiri Krismas mwezi wa sitaHahahhaa sasa hv empire imeanguka..the rise and fall of sukuma🤣🤣..hao kina Rashid hawana lolote kwasasa ..ntakutumia
hahahaha, hapa fasihi imefanya kaziyakeNimenunua mijibundi mikubwa kwa midogo kwa mbwembwe nyingi sana. Kwa mikogo na mwendo wa madaha nilijigamba kila kona huku nikiwatambia wapinzani wangu kuwa naenda kuwa juu kama Pierre Liquid Konki Fayaaaaa.
Matarajio yangu ilikuwa niipeleke mibundi yangu nchi jirani na za mbali, hasa Bollywood na Uchinani.
Nimeshindwa, wamesema hawataki uchawi kwenye nchi yangu.
Mibundi mikubwa imelala tu inapigwa na vumbi na kuzeeka, vibundi vidogo navituma mikoani lakini navilisha kwa gharama kubwa na havinipi faida, watu hawana hela nashindwa kuwapiga chuma ulete.
Bora ningekuwa msikivu ningechimba visima wanangu wapate maji kuliko biashara hii kichaa ya uchawi wa mabundi.
Mapovu ruksa
Nunua nyokaKibiashara changu cha bundi hakiendani na mambo yenu ya uchumi wa kati..... nadhani tatizo nyota
Nimenunua mijibundi mikubwa kwa midogo kwa mbwembwe nyingi sana. Kwa mikogo na mwendo wa madaha nilijigamba kila kona huku nikiwatambia wapinzani wangu kuwa naenda kuwa juu kama Pierre Liquid Konki Fayaaaaa.
Matarajio yangu ilikuwa niipeleke mibundi yangu nchi jirani na za mbali, hasa Bollywood na Uchinani.
Nimeshindwa, wamesema hawataki uchawi kwenye nchi yangu.
Mibundi mikubwa imelala tu inapigwa na vumbi na kuzeeka, vibundi vidogo navituma mikoani lakini navilisha kwa gharama kubwa na havinipi faida, watu hawana hela nashindwa kuwapiga chuma ulete.
Bora ningekuwa msikivu ningechimba visima wanangu wapate maji kuliko biashara hii kichaa ya uchawi wa mabundi.
Mapovu ruksa
Nyoka mwenyewe naona kavua gamba kabla hajazaliwaNunua nyoka
Huo ni mtazamo wakoYaani unaziponda ndege za MAGUFULI wewe kwa kutumia fasihi haya bwana wee endelea tu....[emoji18][emoji115]
Mkuu wekeza kwenye mayai ya Bundi ndio yanahela.Nimenunua mijibundi mikubwa kwa midogo kwa mbwembwe nyingi sana. Kwa mikogo na mwendo wa madaha nilijigamba kila kona huku nikiwatambia wapinzani wangu kuwa naenda kuwa juu kama Pierre Liquid Konki Fayaaaaa.
Matarajio yangu ilikuwa niipeleke mibundi yangu nchi jirani na za mbali, hasa Bollywood na Uchinani.
Nimeshindwa, wamesema hawataki uchawi kwenye nchi yangu.
Mibundi mikubwa imelala tu inapigwa na vumbi na kuzeeka, vibundi vidogo navituma mikoani lakini navilisha kwa gharama kubwa na havinipi faida, watu hawana hela nashindwa kuwapiga chuma ulete.
Bora ningekuwa msikivu ningechimba visima wanangu wapate maji kuliko biashara hii kichaa ya uchawi wa mabundi.
Mapovu ruksa
Aisee!Yaani unaziponda ndege za MAGUFULI wewe kwa kutumia fasihi haya bwana wee endelea tu....[emoji18][emoji115]
Lakini yupo vizuri huoni anachanja mbuga kuelekea kwa mwanamalundi...?, mwingine kwakina mwaisaNyoka mwenyewe naona kavua gamba kabla hajazaliwa
Tunaongelea hili lijoka lilipo tumboni, wataalamu walisema litaanguliwa baada ya miaka 15Lakini yupo vizuri huoni anachanja mbuga kuelekea kwa mwanamalundi...?, mwingine kwakina mwaisa