Biashara ya vitafunwa vikavu

Biashara ya vitafunwa vikavu

Mbulaje13

Member
Joined
Dec 19, 2016
Posts
14
Reaction score
16
Wenye uzoefu wanisaidie kuchanganua : mahitaji, namna ya kutengeneza, masoko na changamoto zake , mfano wa vitafunwa hivyo ni karanga, ubuyu, bisi na crips za ndizi na viazi au mihogo.
 
Nafikiri biashara yoyote ina wateja wake na inakulipa ukiwa mbunifu na mwenye bidii hapo kazini.Sifahamu vizuri mahitaji ya kutengeneza hivyo vitafunwa ila ukitafuta taarifa mtandaoni utapata.
 
Back
Top Bottom