Biashara ya Upinzani imedoda!

Biashara ya Upinzani imedoda!

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,277
Reaction score
13,920
Tanzania wakati wa Hayati kulikuwa na biashara ya upinzani. Hizi biashara zimedoda sana na Tanzanite karibu wataomba mikopo

1. Vyombo vya habari kama Tanzanite

2. Usalama wa taifa kupiga deal za kununua vifaa vya kusikilizia watu kwa pesa ambazo sio za bajeti

3. Wanasiasa kama Sabaya na Makonda ambao walijitajirisha sana kwa kutishia watu

4. Viongozi wa chama ambao waliomba mabilioni ya kununua wapinzani hasa wabunge na madiwani bila kuwa na bageti

5. Wafanyabiashara ambao walitumia mwanya huu kuweka mikakati ya mabilioni kwenye miradi ya chama kama TV, Viwanja vya CCM bila kukaguliwa vizuri

6. Makatibu wakuu wa idara nyeti kama Ikulu na hazina mambao walikuwa Mungu mtu
 
Siku hizi hakuna tena kuunga mkono juhudi, hakuna tena kesi za uchochezi, utakatishaji fedha, hakuna tena vita ya uchumi nadhani imeisha, mabeberu hawapo tena sijui wameenda wapi
 
Naona headline za magazeti zimeanza kuvutia masomaji, magazeti yanaanza kuuza habari
 
Kabisa Mkuu. Jamaa kaikimbia COVID huku na kule alianza kukimbilia chato akapiga zaidi ya miezi miwili kule. Alivyorudi Dom COVID ikatua pale na kuondoka na mtu wake wa karibu na mpango kuponea chupuchupu. Akakimbilia Moro kuulizia hali Dom akaambiwa hali bado imechafuka akakimbilia Dar na hapo Covid haikufanya ajizi kisha ikatulia kabisa. Tuombe isirudi tena.
MUNGU huwa hakosei
 
Kabisa Mkuu. Jamaa kaikimbia COVID huku na kule alianza kukimbilia chato akapiga zaidi ya miezi miwili kule. Alivyorudi Dom COVID ikatua pale na kuondoka na mtu wake wa karibu na mpango kuponea chupuchupu. Akakimbilia Moro kuulizia hali Dom akaambiwa hali bado imechafuka akakimbilia Dar na hapo Covid haikufanya ajizi kisha ikatulia kabisa. Tuombe isirudi tena.
Ilitusaidia sn
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
😀 😀 Na wote wanaonunua biashara iliyododa nao pia wamedoda. Sasa hivi wananchi ukiwatajia hayo ma saccos wanataka kutapika kabisa.
 
Tanzania wakati wa Hayati kulikuwa na biashara ya upinzani. Hizi biashara zimedoda sana na Tanzanite karibu wataomba mikopo

1. Vyombo vya habari kama Tanzanite

2. Usalama wa taifa kupiga deal za kununua vifaa vya kusikilizia watu kwa pesa ambazo sio za bajeti

3. Wanasiasa kama Sabaya na Makonda ambao walijitajirisha sana kwa kutishia watu

4. Viongozi wa chama ambao waliomba mabilioni ya kununua wapinzani hasa wabunge na madiwani bila kuwa na bageti

5. Wafanyabiashara ambao walitumia mwanya huu kuweka mikakati ya mabilioni kwenye miradi ya chama kama TV, Viwanja vya CCM bila kukaguliwa vizuri

6. Makatibu wakuu wa idara nyeti kama Ikulu na hazina mambao walikuwa Mungu mtu
Ungesema pia walivyo safisha wabunge wa upinzani kwenye majimbo yao. Wamenyooka wapinzani ni mwendo wa kusifia Mama Samia.
 
Back
Top Bottom