Biashara ya Tofali; Mbinu, ushauri na changamoto zake

Biashara ya Tofali; Mbinu, ushauri na changamoto zake

Puna

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2013
Posts
2,770
Reaction score
4,857
Wakuu umofia kwenu.Kuna jamaa yangu anataka kunipatia mashine za kufyatulia tofari,sasa sijawai fikiria hata siku moja kuja kufanya hii biashara,najua humu kuna wazoefu wa hii biashara naombeni ushauri kuhusu hii biashara je! Inalipa? Changamoto zake, mbinu n.k karibuni sana.
 
Tuna tabia ya wote kukimbilia kwenye biashara fulani bila ya kuwa na wazo mbadala
Mifano michache
Boda boda
Car wash
Hizo mashine za tofali
Boutique
Saluni nk nk
Nakushauri fungua duka la vipuri vya hizo mashine utauza sana
 
Wakuu umofia kwenu.Kuna jamaa yangu anataka kunipatia mashine za kufyatulia tofari,sasa sijawai fikiria hata siku moja kuja kufanya hii biashara,najua humu kuna wazoefu wa hii biashara naombeni ushauri kuhusu hii biashara je!inalipa?changamoto zake,mbinu n.k karibuni sana.
Upo serious nikupe hints?
 
1.Tafuta eneo ambako maujenzi yanaendelea,
2.Kuwa na Mashine ya umeme na ya mkono (Bambam).
3.Jenga kaofisi kadogo hapo site kwa ajili ya Wateja
4.Tafuta wapigaji wazuri wa tofali na waaminifu.
5.Hakikisha eneo lina Maji ya kutosha ,kwa ajili ya umwagiliaji wa tofali.
6.Anza na angalau na Mtaji wa mifuko 100 ya cement.
7.Simamia upigaji na umwagiliaji Maji tofali wewe mwenyewe
8.Tofali zimwagiliwe kwa siku tatu mfululizo asubuhi na jioni.
9.Wakati huo tafuta mafundi ujenzi ambao unawahakikishia kamisheni pindi waletapo mteja,ambao ni matajiri wanaowajengea.
10.Kua na Daftari la mauzo ili kujua umeuza na ni kiasi gani unatakiwa kuongeza mzigo site.
11.Usiwaamini wafanyakazi ni rahisi kukuibia cement na pia kuchanganya mchanga mwingi na kuweka cement kidogo ili wakuibie,na mwisho tofali kuwa mbovu (buyu),na ukapoteza Wateja ambao hutaweza kuwarudisha tena.

Hebu pata hiyo kwanza.Halafu nijulishe kama bado upo nikupe ratio ya uchanganyaji.Naogopa kuendelea kumwaga material wakati sina uhakika kama upo
 
Tuna tabia ya wote kukimbilia kwenye biashara fulani bila ya kuwa na wazo mbadala
Mifano michache
Boda boda
Car wash
Hizo mashine za tofali
Boutique
Saluni nk nk
Nakushauri fungua duka la vipuri vya hizo mashine utauza sana
Mkuu hii biashara sikuwaza kuifanya,lakini kama mtu katokea kukukabidhi vifaa hauwezi kukataa kwa kufanya hivyo ni kuifukuza riziki.Asante kwa ushauri naweza kuunganisha hapohapo biashara mbili.Shukrani.
 
1.Tafuta eneo ambako maujenzi yanaendelea,
2.Kuwa na Mashine ya umeme na ya mkono (Bambam).
3.Jenga kaofisi kadogo hapo site kwa ajili ya Wateja
4.Tafuta wapigaji wazuri wa tofali na waaminifu.
5.Hakikisha eneo lina Maji ya kutosha ,kwa ajili ya umwagiliaji wa tofali.
6.Anza na angalau na Mtaji wa mifuko 100 ya cement.
7.Simamia upigaji na umwagiliaji Maji tofali wewe mwenyewe
8.Tofali zimwagiliwe kwa siku tatu mfululizo asubuhi na jioni.
9.Wakati huo tafuta mafundi ujenzi ambao unawahakikishia kamisheni pindi waletapo mteja,ambao ni matajiri wanaowajengea.
10.Kua na Daftari la mauzo ili kujua umeuza na ni kiasi gani unatakiwa kuongeza mzigo site.
11.Usiwaamini wafanyakazi ni rahisi kukuibia cement na pia kuchanganya mchanga mwingi
na kuweka cement kidogo ili wakuibie,na mwisho tofali kuwa mbovu (buyu),na ukapoteza Wateja ambao hutaweza kuwarudisha tena.
Hebu pata hiyo kwanza.Halafu nijulishe kama bado upo nikupe ratio ya uchanganyaji.Naogopa kuendelea kumwaga material wakati sina uhakika kama upo
Mkuu nipo na nmekupata sana.Sasa inshu mimi ni mfanyakazi wa serikali alafu serikali yenyewe hii unaweza tumbuliwa huku biashara ikiwa inasuasua ukaua njaa familia.Nafanyaje hapo?Mwaga material Mkuu.
 
Wakuu umofia kwenu.Kuna jamaa yangu anataka kunipatia mashine za kufyatulia tofari,sasa sijawai fikiria hata siku moja kuja kufanya hii biashara,najua humu kuna wazoefu wa hii biashara naombeni ushauri kuhusu hii biashara je!inalipa?changamoto zake,mbinu n.k karibuni sana.
Tupo pamoja asee mi nishanunua mashine ya mkono na Vibao kama miatano hivi eneo nishapata. (siri) sasa na subiri mchangnao wa uchanganyaji mchangu babu
1.Tafuta eneo ambako maujenzi yanaendelea,
2.Kuwa na Mashine ya umeme na ya mkono (Bambam).
3.Jenga kaofisi kadogo hapo site kwa ajili ya Wateja
4.Tafuta wapigaji wazuri wa tofali na waaminifu.
5.Hakikisha eneo lina Maji ya kutosha ,kwa ajili ya umwagiliaji wa tofali.
6.Anza na angalau na Mtaji wa mifuko 100 ya cement.
7.Simamia upigaji na umwagiliaji Maji tofali wewe mwenyewe
8.Tofali zimwagiliwe kwa siku tatu mfululizo asubuhi na jioni.
9.Wakati huo tafuta mafundi ujenzi ambao unawahakikishia kamisheni pindi waletapo mteja,ambao ni matajiri wanaowajengea.
10.Kua na Daftari la mauzo ili kujua umeuza na ni kiasi gani unatakiwa kuongeza mzigo site.
11.Usiwaamini wafanyakazi ni rahisi kukuibia cement na pia kuchanganya mchanga mwingi na kuweka cement kidogo ili wakuibie,na mwisho tofali kuwa mbovu (buyu),na ukapoteza Wateja ambao hutaweza kuwarudisha tena.

Hebu pata hiyo kwanza.Halafu nijulishe kama bado upo nikupe ratio ya uchanganyaji.Naogopa kuendelea kumwaga material wakati sina uhakika kama upo

Tupo pamoja asee mi nishanunua mashine ya mkono na Vibao kama miatano hivi eneo nishapata. (siri) sasa nasubiri mchanganuo wa uchanganyaji mchangu mkuu mwaga madini. Huyu msukuma kabana ofisini
 
Mrejesho mkuu ulifanya biashara
Tupo pamoja asee mi nishanunua mashine ya mkono na Vibao kama miatano hivi eneo nishapata. (siri) sasa na subiri mchangnao wa uchanganyaji mchangu babu


Tupo pamoja asee mi nishanunua mashine ya mkono na Vibao kama miatano hivi eneo nishapata. (siri) sasa nasubiri mchanganuo wa uchanganyaji mchangu mkuu mwaga madini. Huyu msukuma kabana ofisini
 
1.Tafuta eneo ambako maujenzi yanaendelea,
2.Kuwa na Mashine ya umeme na ya mkono (Bambam).
3.Jenga kaofisi kadogo hapo site kwa ajili ya Wateja
4.Tafuta wapigaji wazuri wa tofali na waaminifu.
5.Hakikisha eneo lina Maji ya kutosha ,kwa ajili ya umwagiliaji wa tofali.
6.Anza na angalau na Mtaji wa mifuko 100 ya cement.
7.Simamia upigaji na umwagiliaji Maji tofali wewe mwenyewe
8.Tofali zimwagiliwe kwa siku tatu mfululizo asubuhi na jioni.
9.Wakati huo tafuta mafundi ujenzi ambao unawahakikishia kamisheni pindi waletapo mteja,ambao ni matajiri wanaowajengea.
10.Kua na Daftari la mauzo ili kujua umeuza na ni kiasi gani unatakiwa kuongeza mzigo site.
11.Usiwaamini wafanyakazi ni rahisi kukuibia cement na pia kuchanganya mchanga mwingi na kuweka cement kidogo ili wakuibie,na mwisho tofali kuwa mbovu (buyu),na ukapoteza Wateja ambao hutaweza kuwarudisha tena.

Hebu pata hiyo kwanza.Halafu nijulishe kama bado upo nikupe ratio ya uchanganyaji.Naogopa kuendelea kumwaga material wakati sina uhakika kama upo
Aisee safi sana//Nilikuwa napita na kutafuta the same issue.
 
Ukitaka kutengeneza na ruva,keby stone,starfance pamoja na nguzo na preving blocks km kuna MTU kwny jukwaa anazijua
 
Wakuu umofia kwenu.Kuna jamaa yangu anataka kunipatia mashine za kufyatulia tofari,sasa sijawai fikiria hata siku moja kuja kufanya hii biashara,najua humu kuna wazoefu wa hii biashara naombeni ushauri kuhusu hii biashara je!inalipa?changamoto zake,mbinu n.k karibuni sana.
Miaka mitano sasa..tupe mrejesho wa Biashara hii. Mafanikio na changamoto zake
 
Wale wa Dodoma sehemu kubwa kule ni udongo ss mchanga wa tofali za block huwa wanapata wapi au wanafyatua michanga Yao ya changarawe hivyohvyo?
 
Back
Top Bottom