Biashara ya simu za mezani(table phone's)

Biashara ya simu za mezani(table phone's)

DONALD

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2010
Posts
275
Reaction score
35
Biashara ya simu za mezani, unaweka line ya aina yoyote ile (vifurushi kama kawa),ina kaa na charge kwa siku 7,ina radio na pia inatuma na sms...kwa TZS100,000/-..ukiwa Dar city centre,delivery ni free...pia tunatuma na mikoani...kwa watakaohitaji..!
Ni nzuri kwa familia kubwa yenye (mahouse boys &girls),kwa vijijini pia na zaidi kwenye ofisini zetu...ina save gharama the sana...
Kwa orders,pl nicheki 0714 345 432/0685 779 278..!
IMG-20180317-WA0015.jpg
IMG-20180317-WA0012.jpg
20180317_133823-1.jpg
20180317_133715.jpg
20180317_133350.jpg
20180317_130710-1.jpg
 
Inafanyaje Kazi?

Huko vijijini nguzo za Simu hizo mbona hazipo?

Unaweza kumpigia MTU akiwa nzega Mimi nikiwa dar! Hebu fafanua vizuri na gharama zake kuanzia kwenye kuifunga hadi uanze kufanyia kazi
 
Inafanyaje Kazi?

Huko vijijini nguzo za Simu hizo mbona hazipo?

Unaweza kumpigia MTU akiwa nzega Mimi nikiwa dar! Hebu fafanua vizuri na gharama zake kuanzia kwenye kuifunga hadi uanze kufanyia kazi
...Kaka unaitumia kama hizi simu za kawaida tu,ukishaichaji,unachomeka SIN card na kuanza kutumia,haina kuifunga,ni rahisi sana...kama huko nzega ndani ndani,tumia mitandao inanyofika masafa ya mbali....Voda,Halotel&Airtel nafikiri itakuwa sahii kwa bush...!
 
...Kaka unaitumia kama hizi simu za kawaida tu,ukishaichaji,unachomeka SIN card na kuanza kutumia,haina kuifunga,ni rahisi sana...kama huko nzega ndani ndani,tumia mitandao inanyofika masafa ya mbali....Voda,Halotel&Airtel nafikiri itakuwa sahii kwa bush...!
...na gharama ni hiyo hiyo...zaidi ni kwamba kwa kutumia simu hizi unakuwa na uhakika kuwa unaongea na mtu akiwa nyumbani,huiwezi beba na kutembea nayo labda uwe na pochi/bag kubwa..
 
Back
Top Bottom