A man with no name JF-Expert Member Joined May 7, 2017 Posts 1,131 Reaction score 1,598 Apr 29, 2019 #1 Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu naitaji pumba ya mahindi Sif za pumba iwe pumba kavu iwe na chakula iwe nyeupe Isiwe brown kama una pumba ya aina hiyo karibu kwa mjadala na weka na bei yako kwa kilo unauzaje na unapopatikana Karibuni kwa mjadala
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu naitaji pumba ya mahindi Sif za pumba iwe pumba kavu iwe na chakula iwe nyeupe Isiwe brown kama una pumba ya aina hiyo karibu kwa mjadala na weka na bei yako kwa kilo unauzaje na unapopatikana Karibuni kwa mjadala
Ushimen JF-Expert Member Joined Oct 24, 2012 Posts 42,613 Reaction score 105,552 Apr 29, 2019 #2 Wewe upo wapi/mkoa gani? Unanunua kwa pesa ngapi per 1 kg? Unapoamua kufanya biashara, jaribu kuwa serious na uweke mawasiliano tafadhali. Ushauri wangu kwako ni huo tu, lakini pumba sina A man with no name said: Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu naitaji pumba ya mahindi Sif za pumba iwe pumba kavu iwe na chakula iwe nyeupe Isiwe brown kama una pumba ya aina hiyo karibu kwa mjadala na weka na bei yako kwa kilo unauzaje na unapopatikana Karibuni kwa mjadala Click to expand...
Wewe upo wapi/mkoa gani? Unanunua kwa pesa ngapi per 1 kg? Unapoamua kufanya biashara, jaribu kuwa serious na uweke mawasiliano tafadhali. Ushauri wangu kwako ni huo tu, lakini pumba sina A man with no name said: Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu naitaji pumba ya mahindi Sif za pumba iwe pumba kavu iwe na chakula iwe nyeupe Isiwe brown kama una pumba ya aina hiyo karibu kwa mjadala na weka na bei yako kwa kilo unauzaje na unapopatikana Karibuni kwa mjadala Click to expand...
A man with no name JF-Expert Member Joined May 7, 2017 Posts 1,131 Reaction score 1,598 Apr 29, 2019 Thread starter #3 Ushimen said: Wewe upo wapi/mkoa gani? Unanunua kwa pesa ngapi per 1 kg? Unapoamua kufanya biashara, jaribu kuwa serious na uweke mawasiliano tafadhali. Ushauri wangu kwako ni huo tu, lakini pumba sina Click to expand... Sawa mkuu Kilo nanua kwa 200 Napatikana Kilimanjaro mkuu kama unayo naomba uje pm tufanye biashara
Ushimen said: Wewe upo wapi/mkoa gani? Unanunua kwa pesa ngapi per 1 kg? Unapoamua kufanya biashara, jaribu kuwa serious na uweke mawasiliano tafadhali. Ushauri wangu kwako ni huo tu, lakini pumba sina Click to expand... Sawa mkuu Kilo nanua kwa 200 Napatikana Kilimanjaro mkuu kama unayo naomba uje pm tufanye biashara
A man with no name JF-Expert Member Joined May 7, 2017 Posts 1,131 Reaction score 1,598 Apr 29, 2019 Thread starter #4 Ina maana hakuna mwenye pumba au watu hawataki kufanya biashara wanajamvii
faza comfesor Member Joined Mar 15, 2018 Posts 22 Reaction score 11 Jun 5, 2019 #5 Bei unayotoa mkoa we ulipo ni Shidaah uwezi pata mzigo sababu naona hiii ni thred yako ya pili
Joselela JF-Expert Member Joined Jan 24, 2017 Posts 6,828 Reaction score 9,649 Jun 6, 2019 #6 Pumba mbichi iliotoka kukobolewa kwenye mahindi ipo bei 4000/ debe Sawa na 400 kwa kilo.. Na pumba sasa ni adimu watu wanakula sana dona.
Pumba mbichi iliotoka kukobolewa kwenye mahindi ipo bei 4000/ debe Sawa na 400 kwa kilo.. Na pumba sasa ni adimu watu wanakula sana dona.