mrlonely98
Member
- Nov 6, 2009
- 99
- 29
Nataka nianze kulima mwenyewe mdogo mdogoHio 500k Bora ufate ndizi mkoani upeleke maeneo yenye uhitaji
Jambo jemaNataka nianze kulima mwenyewe mdogo mdogo
Nakzia kama analima kibiashara acheki soko la ndizi lipoje na ni aina ipi inanunuliwa zaidi asije ula wa chuyaInategemea na ndizi za aina gani unataka
HahahhaNakzia kama analima kibiashara acheki soko la ndizi lipoje na ni aina ipi inanunuliwa zaidi asije ula wa chuya
Nikiona mgomba hata km na shida zinapoa kwa muda sjui kwann π
Hongera sana bruh mazingira ya wapi ni huku porini kweli πHapo nimepanunua mwaka juzi
View attachment 3572292
Kibosho hiyo mnamaHongera sana bruh mazingira ya wapi ni huku porini kweli π
Nimechek kwa umakini kidogo kufanane na kule mndeny kwetu haki πKibosho hiyo mnama
Hahaha uchagani kuna fanana snaNimechek kwa umakini kidogo kufanane na kule mndeny kwetu haki π
aaaah Kuna fafnana mno kwenye picha hapo kila mtu atasema kwao πHahaha uchagani kuna fanana sna
Hapo nilinunua kwa mlevi mmojaaaaah Kuna fafnana mno kwenye picha hapo kila mtu atasema kwao π
Hahahaha π€£ sema kwenu huko mmelala karibu karibu aani sio km kule kwetuHapo nilinunua kwa mlevi mmoja
Yeah huko mna mashamba makubwa snaHahahaha π€£ sema kwenu huko mmelala karibu karibu aani sio km kule kwetu
Mje mnunue na kule bruhYeah huko mna mashamba makubwa sna
Sema wakibosho tupo wachache tuMje mnunue na kule bruh
Aaah so kweli, Kwan kibosho inaundwa na wenyeji wa maeneo km mangpSema wakibosho tupo wachache tu