Habar wapendwa naomba nilete feedback hapa km nilivyo haid
Kwa bahat mbaya mda ulipofika cku kufanikiwa kuchukua kwani nilie kuwa namtegemea alipata changamoto kubwa hali iliyopelekea kushindwa kufanya kile tulichopanga so nikaamua kufanya plan b
Plan B ———> BODA BODA
niliamua kununua boda na kuingiza mtaaan kwa makatab
27/6/22boda yang ya kwanz ingawa nilie mpatia hakwenda vile itakavyo ikabd nibadlishe mtu
Huyu nilienda nae Vzr san mpaka mkataba kuisha kwa miez 10 kila cku elf 15k nikanunua ya 2 used mwez wa 9 hii nayo niliapata changamoto kwan alie itaka baadae hakutaka kuendelea na mkataba boda nilinunua kwa 1.2m jamaaa akakataaa ikabd niiuze kwa bei ya hasara
650k ndo iliuzika nilipata hasara ya 700k ikiwa pamoja na matengenezo iliniuma sana sanaaaaaa sanaaaaa
Mwez wa 1 nikanunua nyingne ,mwez wa 4 nikaongeza tena ,mwez wa 5 nikaongeza , mwez wa 9 na wa 12 nikaongeza ten ila kipnd chote nilikuwa na ongeza Pesa kweny mtaji pamoja na ile ninayokusanya
Changamoto nilizo experience
1-kuchelewa kwa hesabu mfano kila juma pili ya wk but wakat mwngne mpaka j5
2-kununua used ambayo atakae itumia c yule mwenye nayo
3-kuibiwa ingawa inaweza kuzuilika km utapata taalifa mapema coz unaweza kui lock hii km umefunga na GPRS
Faida
Faida inategemea na mkataba mlio ingia na Pesa uliyo nunulia
Ila mara nying huanzia 130-150k per moth
Mapendekezo
1) mpe mkataba mtu utakae mmudu
2) ufatiliaji Hii n ether kwa sim au kwa ana kwa ana
3) siku ya malejesho hakikisha analeta/kutuma km hana atoe taalifa siku 2 kabla
4) vijana wako wawe kalbu na unapo ish ili iwe rahc ku fatilia na kuonana mara kwa mara
Shukran
Ingawa ile project ya MPUNGA bado wazo lipo