nasrimgambo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2017
- 1,858
- 2,348
Habari wanajamii forums, habari wajasiriamali.
Nafungua uzi huu ili kuleta pamoja wadau sisi wenye maswali kuhusiana na biashara ya mgahawa ama biashara ya chakula, na kuleta pamoja wale wenye uelewa wa biashara hii, mimi nitaandika maswali yangu, mwengine yeyote mwenye maswali nae basi aulize, na wenye majibu msiwe wachoyo mtujibu, ili uzi huu uwe uzi wa faida.
Nafungua uzi huu ili kuleta pamoja wadau sisi wenye maswali kuhusiana na biashara ya mgahawa ama biashara ya chakula, na kuleta pamoja wale wenye uelewa wa biashara hii, mimi nitaandika maswali yangu, mwengine yeyote mwenye maswali nae basi aulize, na wenye majibu msiwe wachoyo mtujibu, ili uzi huu uwe uzi wa faida.