Nas Jr
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 7,919
- 8,609
Ukichukua jumla ni 33000/= na ukichukua kwa matumizi yako binafsi 58000/= na jumla zinaanzia flash 15 na kuendelea
2TB flash 33,000..??? Mkuu hizo ni flash genuine au zimeandikwa tu 2TB
Ukichukua jumla ni 33000/= na ukichukua kwa matumizi yako binafsi 58000/= na jumla zinaanzia flash 15 na kuendelea
Mzigo uppo makini mkuu wala hakuna longolongo kikubwa ni trust tu coz biashara unaitaji mteja akija afurah ili next time aje tena so 100% mzigo ni genuine2TB flash 33,000..??? Mkuu hizo ni flash genuine au zimeandikwa tu 2TB
Respect brother tupo pamoja hakuna shidaMkuu nimependa hii biashara yako je naweza fanya mawasiliano nikija Mbeya nikutafute tufanye biashara kwa Sasa nipo Tabora
Yaa naelewa changamoto za izi mambo mfano uku mbeya zipo memory na flash 128gb inauzwa 2500/= bei ya jumla ila ndo izo sasa watu wanalalamika mim nitatoa offer kwa wote ambao wataitaji kufanya biasha, nitawapa samples mchek ili muuamin then tuone tunasongeshaje gurudum la maisha ila trust me everything ya nlichoandika kipo reality and genuine 100%Nimenunua 2T juzi mtandaoni... Hadi sasa nimeshapigwa... Uwezo wake siyo 2T... Kwa sababu inapokea vitu.. Lakini ukifungua vinakataa kuonekana... Vinaonekana empty...
Inasikitisha... Na nililipia hiyohiyo 33,000/-
Shukran ndugu yang!! Siwez kukupinga kwa ukiaminichoKila nikizama Amazon naangalia bei zake ni ghali hizo zako ni fekero
Basi ungeifuta hiyo kauli KITAPELI mkuulabla kama unafuata china mwenyewe
We jamaa uko very humble Mkuu bigup sanaNi kweli usemalo mzee but suppliers selection it's not the same na kingine price ni one of competition technique kwenye soko ivo usione kisa bei ipo chini ukais mm nitapeli au nauza mzigo fake just jua dunia kubwa hii kiongozi wangu na pengine ukashangaa mm ndo nikawa suppliers wako just try kuchukua mzigo then ukiona magumashi urudi jf uwambie kua mm nitapeli coz naelewa nin nafanya kiongoz wang so km nlivosema unachofanya ww ni kua curious juu ya bei which is good to goodthinker like you
Respect bro!We jamaa uko very humble Mkuu bigup sana
Km unae ndugu dar itapendeza zaid kwakua bd haujajua how genuine product zilivo ila hakuna kinachoshindikana , nenda kwenye kampuni ya gari ambayo utaitaji nikutumie mzigo (hakikisha unaenda official office zao ) ili wao wawe km wadhamin wetu mpk pale utapoko ona huduma ni ya uhakika then tutaa endelea kufanya biashara, na km unayo njia nyengine nzuri just share tuone tunafanikishaje biashara..Nipo Simiyu, nitakupataje!?
Hamna shida wew piga simu useme kiasi gn cha mzigo unaitaji ili tufanye biasharaMimi pia naomba nikujaribu, nina mpango na hiyo biashara mkuu!
There you are mkuu, umetoa bonge la point kuhusu brand.Si kweli kwamba Unauza bei ile ile ya 16na32gb Mkuu, 16 GB ni 6500-6200 ,na 32gbni 7000-7500 Kwa jumla,halafu ujue hii biashara brand ya flash Au memory card inamata Sana sokoni.
Imation ndio brand ambayo ina aminika
Kwa mazingira nayoona hapa kuna uwezekano ukapewa sample ya genuine product ila ukatumiwa mzigo wa kanjanja ukajuta kumfahamu muuzaji 😂😂😂
Mimi mwenyew nimepigiwa na mshangao, hata kama tusiaribiane biashara lakini kwa hizi bei mmmmmh!!!!! kila la kheriHata uchina huwezi kupata Kwa bei hiyo Mkuu,hii ndio biashara yangu huwa naagiza kila mwez sio chini ya pcs 5000,hiyo ya GB 128 original kabisa yenye uwezo huo Kwa China ni 11000-13000 hujaweka usafir, faida Na Kodi