Biashara ya mchele

Biashara ya mchele

mikko

Member
Joined
Feb 23, 2016
Posts
12
Reaction score
2
Habari wanajamii

Mchele safi grade A kutoka mbeya ukihitaji wa kyela upo, wa kamsamba upo bei ni nafuu kabisaaa 1900 kwa kilo.

Mawasiliano 0653623408
 
bei yako sawa na huu wa duka nalo nunuaga rejareja taja kwa jumlajumla ili nicompare.
 
Unao mchele wa kyela wewe? Hiyo mbona sio bei yake.. !!
Mimi ndo muuzaji wa huo mchele na ninaposema wa kyela ni wa kyela haswaaaa na bei YANGU ndo hyo , na uzuri ni biashara ambayo inaonekana kwa mnunuzi kabla hata hajanunua
 
Kaka mchele wa kyela hauuzwi bei sawa na michele mingine, na kuupata wenyewe original ni kazi sana...
Ndio mana nina wasiwasi ba hiyo bei yako..
 
Kaka mchele wa kyela hauuzwi bei sawa na michele mingine, na kuupata wenyewe original ni kazi sana...
Ndio mana nina wasiwasi ba hiyo bei yako..
Kama ukifanikiwa kuuona utasadiki na wala siuzi kienyej brother ni hadi wateja wangu wanapoona ndipo nafanya nao biashara ...ukihitaj unaona kwanza ndipo biashara inafuata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom