gmail mkulima
Senior Member
- Jun 11, 2017
- 186
- 114
Naomba mwenye kujua bei ya mashudu kwa debe moja ajinijulishe.
Kwa mkoa gani?Naomba mwenye kujua bei ya mashudu kwa debe moja ajinijulishe.
Habari Mkuu, Nina magunia sita ya alizeti. Nitayakamua wiki mbili zijazo. Nipo tayari kukuuzia mashudu yote yatakayopatikana baada ya kukamua siku hiyo Kwa tsh 150/= kwa kilo. Utachukua mzigo wako mashineni hapo hapo baada tu ya kukamua. Kama Upo tayari unipm, mzigo upo morogoro kiegea ASinginda boss, na kama unajua bei ya alizeti (mbegu) nijulishe
Uko shudu ziko nyingi?Habari Mkuu, Nina magunia sita ya alizeti. Nitayakamua wiki mbili zijazo. Nipo tayari kukuuzia mashudu yote yatakayopatikana baada ya kukamua siku hiyo Kwa tsh 150/= kwa kilo. Utachukua mzigo wako mashineni hapo hapo baada tu ya kukamua. Kama Upo tayari unipm, mzigo upo morogoro kiegea A
Tupe jibu basi mkuuHabari Mkuu, Nina magunia sita ya alizeti. Nitayakamua wiki mbili zijazo. Nipo tayari kukuuzia mashudu yote yatakayopatikana baada ya kukamua siku hiyo Kwa tsh 150/= kwa kilo. Utachukua mzigo wako mashineni hapo hapo baada tu ya kukamua. Kama Upo tayari unipm, mzigo upo morogoro kiegea A
Ni mchanganyiko wa alizeti nyeusi na nyeupe.[/QU
OK
Mkuu, nashukuru kwa ujumbe. Naamini hautojali kunipatia namba yako ili tuwasiliane. Ninauhutaji sana wa mashudu.Habari Mkuu, Nina magunia sita ya alizeti. Nitayakamua wiki mbili zijazo. Nipo tayari kukuuzia mashudu yote yatakayopatikana baada ya kukamua siku hiyo Kwa tsh 150/= kwa kilo. Utachukua mzigo wako mashineni hapo hapo baada tu ya kukamua. Kama Upo tayari unipm, mzigo upo morogoro kiegea A
Kwa mkoa gani?
Kilo ni 250 mpaka 300 TSh
Singida,mpwapwa,makambako etc
Hayo ni mashudu ya aina gani?
Mimi nahitaji cakes na bei unauzaje?
Nahitaji kama tani tano.
Nijulishe.
Poa ila kuna sunflower cake za wachina wa shinyanga zipo kama unga ndio maana nikaweka mkazo mkuuDaah post ya kitambo hii mkuu
Cakes si ndo hayo boss umepeleka kwenye lugha ya wenzako tu
Yaliyoongelewa halo ni sunflower cakes
Kwa sasa sijui hupatikanaji wake maana hii post ya kitambo mkuu