Biashara ya mashamba

khalidi wazir

Member
Joined
Apr 8, 2014
Posts
8
Reaction score
0
Habari zenu wadau wenzangu wa JF

Kuna mashamba yanaizwa kwabei nzuri kabisa.
1) lipo mbeleya mkuranga
Nikilometa kumi kutoka kongowe na nikilo meta mbili kutoka kituwo cha basi
Shamba lipo sehemu nzuri nalimesha achwa njia pandezote nneza mipaka ya shamba
Kutoka kwenye shamba hadi barabara ya lami nikama kilometa mbili
Nishamba lenyeudongo wenye rutiba
Nishamba la hekari moja
Bei yake ni milioni mbili na nusu (2.5M)

2) kuna hili jingine la heka tano ambalo tayari lina mifenesi na mikorosho ya kutosha kabisa na nikama miguu 70*3 kutoka usawa wa barabara ya lami nizuri nalenyerutuba
Hili ni milioni kumi (10M)




KARIBUNI SANA

Kwa mawasiliano piga namba
0717143959
E-mail: khalidwazir37@gmail.com
Nipo pia kwenye watsap
 
kaka nashukuru sana kwa taarifa ila hapa JF bei ni muhimu kutaja mana hapa tupo kwa madaraja,ukipigiwa simu af ukisema million 5 si ndo utatuumiza,taja bei ili tujue kama tutaweza au lah na je hlo shamba lina documents zozote na sio eneo la barabara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…