Biashara ya kuuza Pweza

Biashara ya kuuza Pweza

mzee wa kismati

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2013
Posts
2,291
Reaction score
798
nimesikia biashara ya pweza ni nzuri hasa kwa watu kama sisi ambao kimsingi bado tunawategemea wazazi inatosha sana kukusaidia kupta mtaji wa kuanzisha biashara nyingn

kama upo vizuri nitafurahi ukiniambia kwa kina ukigusia zadi maeneo haya
1,mtaji wa kuanzia kununulia kila kitu?
2. faida kwa siku?
3. ukimuajiri mtu unaweza kumlipa vipi?
4.je ipo haja ya kuwa na mkataba kati yako na muajiriwa?
5.upatikanaji wa maeneo umeakaje?
6.vipi kuhusu usumbufu wa city unaukabili vipi?

na mengn mengi
 
Habari zenu wakuu, najitokeza mbele yenu kwenye jukwaa letu hili pendwa kuomba ushauri, nimeona fursa hapa mjini kwetu ninapoishi ya kuuza wale pweza wa vipande kama wanouzwa huko Dar kwenye meza za vijana mbalimbali hasa nyakati za jion. Ushauri wenu hasa ninaouomba ni changamoto hasa zinazoikumba biashara hii, ni vionjo gani hasa walaji wa pweza hua wanavipenda sana na mwishoe makadirio ya gharama!! Ni hayo tu wakuu naomba kuwasilisha
 
We Mr. Genius vipi, sa we usiposema ni wapi huko uliko tutakushauri vipi? usikute huko uliko hata kabwawa hakuna. lazima useme huko mjini kwako ni wapi ili tukushauri ktk pointi
 
We Mr. Genius vipi, sa we usiposema ni wapi huko uliko tutakushauri vipi? usikute huko uliko hata kabwawa hakuna. lazima useme huko mjini kwako ni wapi ili tukushauri ktk pointi

Niko morogoro mjini mkuu, sihitaji wa kufuga nahitaji wa kuuza vipande mezani
 
We Mr. Genius vipi, sa we usiposema ni wapi huko uliko tutakushauri vipi? usikute huko uliko hata kabwawa hakuna. lazima useme huko mjini kwako ni wapi ili tukushauri ktk pointi

kabwawa kwani amekwambia anataka kufuga?
 
kabwawa kwani amekwambia anataka kufuga?

Ila hapa sikumaanisha kufuga nilitaka kujua tu unamshauri vipi maana kama huko kwao hakuna uvuvi inabidi awatoe mbali hao pweza so hata cost ya kuoperate inaongezeka, tofauti na mtu aliyepo karibu na bwawa, ziwa au bahari yenye hao viumbe
 
Habari wakuu.
Nafikiria kuanzisha biashara tajwa hapo juu eneo la kazi ni Dar es Salaam. Mwenye uzoefu na biashara hizi naomba anijuze. Hasa hasa changamoto na uendeshaji wake. Nafikiria kukodi fremu kabisa.
Natanguliza shukran Wakuu
 
Ni biashara nzuri ila si watu wote wanaojua umuhimu wa vitu hivyo. Tafuta sehemu zenye watu wa pwani wengi utapata pesa, kwani wao ndio wanajua zaidi umuhimu wake.
 
Mkuu H.N mie nakushauri "GO AHEAD" pia uongeze juice mchanganyiko COCKTAIL,mix fruits na vitafunio...kwa hapo kwa Dar. na joto hili mambo yatakwende vizuri biidhniLLaah !!
 
Shukran sana kaka Zamiluni Zamiluni. Nitayafanyia kazi mawazo yako kaka
Ngoja nikupe varieties :-
Zingatia Usafi, usafi ndani na nje weka quality wa hali ya Juu....!!
Hudumia kwa kutumia Viombo visafi na maridadi...!!
Present huduma sako kwa kutabasamu....!!
Usiharakishe kuapata faida kubwa, walemaze wateja wako kuipenda bidhaa yako...!!
Ona hizo..:-



na fruits mix salads:-

vyote hivyo vinapatikana Dar !!

Ona snacks!!


Sasa changamkia kazi..... Allah akubarikie ktk halali yako!!
 
Ngoja nikupe varieties :-
Zingatia Usafi, usafi ndani na nje weka quality wa hali ya Juu....!!
Hudumia kwa kutumia Viombo visafi na maridadi...!!
Present huduma sako kwa kutabasamu....!!
Usiharakishe kuapata faida kubwa, walemaze wateja wako kuipenda bidhaa yako...!!
Ona hizo..:-



na fruits mix salads:-

vyote hivyo vinapatikana Dar !!

Ona snacks!!


Sasa changamkia kazi..... Allah akubarikie ktk halali yako!!

Aamiyn.
Shukran sasa kaka.
 
location kwa dar es salaam;kigamboni,magomeni,kinondoni,ilala,kariakoo,tandika .buguruni,vingunguti.ukipeleka mbezi ya kimara au mbezi beach itakula kwako,hayo maeneo ya kwanza yana watu wa pwani na visiwani kwa wingi
 
location kwa dar es salaam;kigamboni,magomeni,kinondoni,ilala,kariakoo,tandika .buguruni,vingunguti.ukipeleka mbezi ya kimara au mbezi beach itakula kwako,hayo maeneo ya kwanza yana watu wa pwani na visiwani kwa wingi

Shukran MKUU kwa mchango wako.
 
Wazo zuri sana, subiri wajuvi wa pweza watakuja kufumbua maswali yako.
 
Ubunifu mzuri sana changamoto utskayokumbanA nayo sana ni usafirishaj!! inaitaji connection kubwa
 
Yahee pweza njoo ununue kwetu huku zanzibare tunauza bei nafuu sana kuliko huko tanganyika.
 
Back
Top Bottom