elvis richard
Senior Member
- Dec 6, 2014
- 195
- 205
Habari wanaJF, mimi ni mfanyakazi private nimeajiriwa nina miaka miwili kazini baada ya kufanya kazi kwa miaka hiyo miwili nimepata wazo la kuanza kuuza magari yaliyotumika lakini kiukweli sijajua naanza vipi?
Wala sijui natengeneza vipi connections za kupata hayo magari na kuyauza. Please naombeni ushauri wenu nifanyaje ili niweze kuchomoka na hii mishe.
Asanteni na karibuni.
Wala sijui natengeneza vipi connections za kupata hayo magari na kuyauza. Please naombeni ushauri wenu nifanyaje ili niweze kuchomoka na hii mishe.
Asanteni na karibuni.