Habari za wakati huu wana Jamii Forums, kheri ya mwaka mpya.
Naomba msaada wenu kujua sehemu ninayoweza kupata mtu anaechinja nguruwe na kuuza kwa bei angalau 5000tsh maana nahitaji na mimi kufanya biashara ya kuuzia watu wa majiko ya kupika kitimoto na wenye butchers za nyama ya nguruwe.
Hii ndo biashara niliyokua naifikiria sana nikiwa chuo na nilisave baadhi ya pesa ili nikimaliza nianze hii biashara maana naamini itaniletea matokeo chanya ya kusaidia maisha yangu na familia.
Naombeeni msaada wenu wana JF. Namba yangu ya mawasiliano ni 0628487481
Naomba msaada wenu kujua sehemu ninayoweza kupata mtu anaechinja nguruwe na kuuza kwa bei angalau 5000tsh maana nahitaji na mimi kufanya biashara ya kuuzia watu wa majiko ya kupika kitimoto na wenye butchers za nyama ya nguruwe.
Hii ndo biashara niliyokua naifikiria sana nikiwa chuo na nilisave baadhi ya pesa ili nikimaliza nianze hii biashara maana naamini itaniletea matokeo chanya ya kusaidia maisha yangu na familia.
Naombeeni msaada wenu wana JF. Namba yangu ya mawasiliano ni 0628487481