Fax machines zipo nyingi tu usihufu kuhusu aina za machine zenyewe.
Ila naona kama vile siku hizi watuma fax sio wengi sana, watu wengi wamehamia kwenye email.
Ila ili uweze kuunganishwa na huduma ya fax, lazima uwe na landline (kama simu za kawaida za mezani za TTCL).
Ukishakuwa na landline, hapo jamaa wa TTCL watakuunganisha na huduma ya fax (baada ya kununua fax machine).
Changamoto ni uhaba wa wateja wa fax. Huku Dar fax kama vile hazitumiki kabisa... Sijui huku uliko !!