M-pesa
JF-Expert Member
- Sep 4, 2011
- 602
- 151
Wadau,
Mwenye uzoefu na hii biashara si vibaya akatupatia ushauri hapa jamvini kuhusu yafuatayo:
1) Unasafirisha wanyama gani? ( Mbuzi, ng'ombe, kondoo, kuku, nguruwe ?)
2) Je, unawatoa mkoa gani hapa Tanzania bara?
3) Je, ni vibali gani vinahitajika ili kuepuka usumbufu njiani?
4) Je, soko lako ni ndani au nje ya nchi?
Asanteni sana.
Mwenye uzoefu na hii biashara si vibaya akatupatia ushauri hapa jamvini kuhusu yafuatayo:
1) Unasafirisha wanyama gani? ( Mbuzi, ng'ombe, kondoo, kuku, nguruwe ?)
2) Je, unawatoa mkoa gani hapa Tanzania bara?
3) Je, ni vibali gani vinahitajika ili kuepuka usumbufu njiani?
4) Je, soko lako ni ndani au nje ya nchi?
Asanteni sana.