Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,146
- 16,999
Ni utaratibu gani natakiwa kufwata ili niweze kuanzisha biashara ya kokoto. Kwa maana ya kufunga KRASHA la kuvunjia mawe.
Utaratibu ni upi huko serekalini?
Mwenye idea na hii kazi naomba uzoefu tafatali.
Utaratibu ni upi huko serekalini?
Mwenye idea na hii kazi naomba uzoefu tafatali.