Unajua wenzetu jamii ya zanzibar wana utamafuni wa kutopika jioni, jioni wengi hupenda kula out na familia zao au wapenzi wao, sasa hapo issue ni location angalia maeneo yenye Waarabu, Wahindi, Wazanzibari wengi, Ilala, Magomeni, Kisutu, Manzese, Tandika, ongea na watu wa azam utapiga hela.
Ukifungua hiyo biashara Tabata, Sinza, Kimara imekula kwako, huko ni pombe na kitimoto. Sasa pombe na ice cream haviendani