Lotiro Mlembea
Member
- Sep 22, 2010
- 79
- 7
Ndugu wadau, kwa yeyote anayehitaji kufanya biashara ya kuuza gesi za kupikia pamoja na vifaa vyake tuwasiliane.
Nimekuwa nikifanya hii biashara kwa kipindi cha miaka mitano sasa nikimiliki maduka kadhaa hapa Dar es Salaam. Kuna duka moja dogo lililopo eneo la vingunguti ambapo mbali na gesi pia kuna huduma ya m-pesa, tigopesa na huduma ya kuuza LUKU pamoja na huduma zote kupitia kampuni ya selcom. Hili duka nahitaji kulifunga kutokana na kuwa busy na shughuli nyingine hivyo kukosa muda wa kulisimamia ipasavyo.
Kwa anayehitaji anitumie sms kwa maelezo zaidi.
Nimekuwa nikifanya hii biashara kwa kipindi cha miaka mitano sasa nikimiliki maduka kadhaa hapa Dar es Salaam. Kuna duka moja dogo lililopo eneo la vingunguti ambapo mbali na gesi pia kuna huduma ya m-pesa, tigopesa na huduma ya kuuza LUKU pamoja na huduma zote kupitia kampuni ya selcom. Hili duka nahitaji kulifunga kutokana na kuwa busy na shughuli nyingine hivyo kukosa muda wa kulisimamia ipasavyo.
Kwa anayehitaji anitumie sms kwa maelezo zaidi.