Mkuu,
mimi lengo langu ni kununua toka kwa “licensed dealers”, sio kichochoroni, na ku export. unavyo fikiri inaweza kulipa?
hapa nilipo bei ni Tshs 149,691 kwa 24k
nataka kujua kama nitaweza pata discount na vitu kadhalika kuona kama inaweza kuwa biashara nzuri.
asante