THOMAS LUTEGO
New Member
- Mar 13, 2012
- 1
- 0
Nafikilia kufanya biashra ya dawa za binadam kutoka india hapa nchini , tatizo kubwa sifaham taratibu za vibari pamoja na kanuni za kuingiza mizigo kupitia bandari zetu hapa nchini , naombeni mchango wa mawazo wana JF