kuku mweus
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 766
- 602
Mkurya mwenziyo ndo alisema kuwa team iko chin ya wajita siyo mimi mkuukoma we jamaa..usituletee virusi
Hahahahaaaaa mumejambishwa na mangosha ya shinyanga lazima mshuke daraja
Hahaha pole mzee kunywa maji lakin tunza ssna coment hii ya kushuka daraja
Yanga mnyonge wenu sio?kaburi linawaita msimu huuKufungwa sio shida kwa kipindi hiki,cha msingi tuweke malengo kubaki ligi kuu kwa msimu huu kuliko kukomalia umaarufu ambao hatuna kwa sasa.
Tukikutana na wanyonge wenzetu kama yanga,tuhakikishe tunachua point zote 3.
Hivi kauli mbiu ya BUFC inasemaje wadau?
Hahahaha....m-marekani bhana.
Umeongea point sanaAcheni mambo zenu.za ukabila.. tukianza kutengana wenyewe eti sijui ya wajita sijui nini .. Kuna waKwaya.. waRuri. waZanaki.. na wengiiii... mkoa una makabila zaidi ya 20... Mkileta Hizi mambo hatutoifikikisha mbali... Acheni usoro.. Mimi ni mkwaya niliyekulia arusha Acheni hizo mambo
Njoo tuchangie buku 10 tuu
Matokeo vipiTupo uwanjani
OiMatokeo vipi
Kagera SugarTumecheza na nani leo wadau
Hahahahaha,halafu jana walikuwa home Musoma
Wajita wote hoyeeeeeewakurya wote oyee
Mzimu Wa kushuka daraja jamaa unawanyemelea kwa kas sanaWajita wote hoyeeeeee