Biashara United (Mara) | Special Thread

IMG_20180912_173013.jpeg
Leo nilikuepo uwanjani kushuhudia mazoezi ya vijana
 
Acheni mambo zenu.za ukabila.. tukianza kutengana wenyewe eti sijui ya wajita sijui nini .. Kuna waKwaya.. waRuri. waZanaki.. na wengiiii... mkoa una makabila zaidi ya 20... Mkileta Hizi mambo hatutoifikikisha mbali... Acheni usoro.. Mimi ni mkwaya niliyekulia arusha Acheni hizo mambo
Umeongea point sana
 
Back
Top Bottom