Mamserenger
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,156
- 2,103
Habari humu JF
Leo nimeona nije na Changamoto ni jinsi gani mtu aweze kufanya biashara bila kuathiri Ajira yake.
Kwani sasa Ajira nyingi zimekuwa zikichukua muda wote katika siku week na hata miaka.
Na hata pia ukikusanya kipato cha ajira bado hakikidhi hata Nusu ya shida zako.
Na pia huwezi acha Ajira ilio kutunza tangu ukiwa huna maisha wala kitu ukakimbilia biashara.Kwanza si busara hata kwa wale mlio nao kwenye ajira.
Sasa kutokana na sababu za bandiko langu.
Naombeni ku share namna ambavyo utatumia mbinu mbali mbali jinsi ya kufanya biashara yako vyema ikakupa Faida bila kuathiri Ajira yako.
Pia kwa kurahisisha zaidi mjadala huu basi pia njia ya Network ikawe kama kiini cha mjadala huu.
Asanteni na wasilisha
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Leo nimeona nije na Changamoto ni jinsi gani mtu aweze kufanya biashara bila kuathiri Ajira yake.
Kwani sasa Ajira nyingi zimekuwa zikichukua muda wote katika siku week na hata miaka.
Na hata pia ukikusanya kipato cha ajira bado hakikidhi hata Nusu ya shida zako.
Na pia huwezi acha Ajira ilio kutunza tangu ukiwa huna maisha wala kitu ukakimbilia biashara.Kwanza si busara hata kwa wale mlio nao kwenye ajira.
Sasa kutokana na sababu za bandiko langu.
Naombeni ku share namna ambavyo utatumia mbinu mbali mbali jinsi ya kufanya biashara yako vyema ikakupa Faida bila kuathiri Ajira yako.
Pia kwa kurahisisha zaidi mjadala huu basi pia njia ya Network ikawe kama kiini cha mjadala huu.
Asanteni na wasilisha
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
