Nahitaji kufanya hii biashara, mzgo unapatikana wapi kwa bei nzurNina biashara ya kava za simu za iphone na simu nyngine na accessories kama usb, charger, protector na vingne vingi kuhusu iphone, samsung, infinux, tecno.
Kwa maeneo hayo eneo lipi litafaa na kwa sababu zipi kwan ni sehem ambaz zinakua kibiashara
Nitext 0718968547 watsupN
Nahitaji kufanya hii biashara, mzgo unapatikana wapi kwa bei nzur
Nimekaa ubungo kwa mdaa wa miaka miwili na ninajua namna biashara zinavyoenda pale japo sio snaa maaan sijawah fanya biashara maeneo yale Kiutaalam izo sehem zote ulizozitaja zipo vyema kwa biashara ila kwa kuwa ubungo bado ni shopping area na mbezii ni development area . Hivyo basiii ushaurii wangu mm kwakuwa mbezi inakuja juu sanaaa na nikitovu cha muunganiko wa watu wa makumbusho kupitia goba na hawa wanaotumia njia ya kinyerez hapa nasemea wakigogo sokon wa gongo la mboto nazungumzia pia wa temeke na wengine wengi wa njia hio. Kusogea kwa stand ya mkoa mbezii kutapanua fursa nyingi mnoo pia watu wa makabe malamba msumiii zone kibamba kibaha wataifanya mbezii nikama mjini kwao hivyoo kitakuwa nikitovu kizurii snaa cha kupata wateja wengi. Ubungo pale stand ya mkoa inaondoka hivyoo kwa mda itashake kw kwenye mauzo ila baaada ya stand ya mwendo kasii na jumba la biashara litakalo jengwa pale ubungo litaiinua tena Hivyoo nakushauri uje mbezii tena tafuta sehem hapa kama unaelekea stand ya malamba. Siwez kuandika sana naomba niishie hapo
Kweli mbezi panakuja kasi sana tatizo frame za biashara hamna..na zilizopo ni chache afu ghali mno kama kariakoo tu. Labda watu wenye mitaji mikubwa wakijenga frames nyingi,au kama mtu unaweza utengemeze kibanda ukipachike sehemu.Nimekaa ubungo kwa mdaa wa miaka miwili na ninajua namna biashara zinavyoenda pale japo sio snaa maaan sijawah fanya biashara maeneo yale Kiutaalam izo sehem zote ulizozitaja zipo vyema kwa biashara ila kwa kuwa ubungo bado ni shopping area na mbezii ni development area .
Hivyo basiii ushaurii wangu mm kwakuwa mbezi inakuja juu sanaaa na nikitovu cha muunganiko wa watu wa makumbusho kupitia goba na hawa wanaotumia njia ya kinyerez hapa nasemea wakigogo sokon wa gongo la mboto nazungumzia pia wa temeke na wengine wengi wa njia hio.
Kusogea kwa stand ya mkoa mbezii kutapanua fursa nyingi mnoo pia watu wa makabe malamba msumiii zone kibamba kibaha wataifanya mbezii nikama mjini kwao hivyoo kitakuwa nikitovu kizurii snaa cha kupata wateja wengi.
Ubungo pale stand ya mkoa inaondoka hivyoo kwa mda itashake kw kwenye mauzo ila baaada ya stand ya mwendo kasii na jumba la biashara litakalo jengwa pale ubungo litaiinua tena Hivyoo nakushauri uje mbezii tena tafuta sehem hapa kama unaelekea stand ya malamba. Siwez kuandika sana naomba niishie hapo.
Nikweli kaka. Nimegusa flame juzi naambiwa 700000 kwa mwezi na zimejaa nikapata mbele kwenye njiapanda ya KINYEREZI nikaambiwa 500000 tena imebaki 1 kwenye jingo la flame karibia 10 na bado zinajengwaKweli mbezi panakuja kasi sana tatizo frame za biashara hamna..na zilizopo ni chache afu ghali mno kama kariakoo tu. Labda watu wenye mitaji mikubwa wakijenga frames nyingi,au kama mtu unaweza utengemeze kibanda ukipachike sehemu.
Duuh...sasa sisi wa vitambulisho vya ujasiliamali tutatoboa kweli.Nikweli kaka. Nimegusa flame juzi naambiwa 700000 kwa mwezi na zimejaa nikapata mbele kwenye njiapanda ya KINYEREZI nikaambiwa 500000 tena imebaki 1 kwenye jingo la flame karibia 10 na bado zinajengwa