Ni wa njisia gani.?Kuna mtu mmoja alienda kwenye duka la nguo akaomba aonyeshwe nguo ya ndani (a.k.a. chupi) size kuuubwaaa kuliko zote. Alionyeshwa yenye XXXXXXXXXXL kibao. Baadae aliacha namba yake ya simu ili akitokea mnunuzi wa hiyo c***i, aitwe akamshuhudie huyo mnunuzi aliyejaaliwa!!!!!
ili duka nadhani liko Arusha kama sikosei
mbona ndogo sana hainitoshi hiii :bored::bored::bored:
Kweli dada?Basi umejaaliwa.