Biashara gani nikiifanya nitakua Billionea Fasta

Biashara gani nikiifanya nitakua Billionea Fasta

Kitabuflix

Member
Joined
Sep 26, 2020
Posts
11
Reaction score
5
Habari wakuu,..

Naomba mawazo ya biashara ambayo nikifanya naweza kua billionea fasta, haijalishi mtaji kiasi gani. Ni biashara gani nikiifanya nakua Billionaire fasta ...?

Tiririka hapo chini.

ASANTE.
 
Kwa mawazo haya uliyonayo wewe ni bilionea tayari, bilionea wa ujinga watu wakupe ideas bure tena kirahisi namna hiyo.
 
Sloat machine Kama zile za kichina njoo nikupe maujuzi dm Ila usiwe spy tu pia haiitaji mamilion mengi kufanya na unapga pesa ndefu kwa mwezi Yani raha yake ukiionja hutoacha.
IMG-20200924-WA0025.jpg
 
mzee mbona naskia hizi wachina hawampi mtu yeyote
Usitake kupewa mbona wabongo wanazo za kutosha we pga mshe hamna knachoshndkana. Sina mda wa kutosha alafu me ni mvivu wa kutype ningeshusha system nzima kuanzia wamiliki wa kampun hz mpaka Kodi wanazolipa.

Na ujanjaujanja wao wote hao madogo wa kchna mnaowaona wanazunguka na magar hawana pesa kabsa maana wanalipwa 2m per month wenye hela ni wale ma manager wa mkoani ambacho watz hawaelew ni kwamba wachina wamegawana mikoa Kama MAKOLONI yao hapa bongo.

Na wao hao mamenager Wanapeleka pesa kila mwezi makao makuu ambako ni dsm kwa wenye kampuni (NIMECHOKA KUANDKA) ILA CHA AJABU HAMNA HATA MBONGO ALIE FUNGUA KAMPUNI HIZI DUH
 
Unaweza lima bange heka utauza milioni 5 au unaweza nunua bange ya elf 70 debe la ndoo ukiuza una laki 7 ya fasta.
 
Usitake kupewa mbona wabongo wanazo za kutosha we pga mshe hamna knachoshndkana. Sina mda wa kutosha alafu me ni mvivu wa kutype ningeshusha system nzima kuanzia wamiliki wa kampun hz mpaka Kodi wanazolipa
na ujanjaujanja wao wote hao madogo wa kchna mnaowaona wanazunguka na magar hawana pesa kabsa maana wanalipwa 2m per month wenye hela ni wale ma manager wa mkoani ambacho watz hawaelew ni kwamba wachina wamegawana mikoa Kama MAKOLONI yao hapa bongo
Na wao hao mamenager Wanapeleka pesa kila mwezi makao makuu ambako ni dsm kwa wenye kampuni (NIMECHOKA KUANDKA) ILA CHA AJABU HAMNA HATA MBONGO ALIE FUNGUA KAMPUNI HIZI DUH
Hizo mashine mbongo kuzipata sio rahisi
 
Unda mkeka wa milion 1, alafu tafuta odds 250.
ujinyakulie sh. 250000000.

hiyo kazi ianze kesho, sawaaaa?
 
Nenda Muhimbili pale kisha uliza bei ya figo, unaweza kuuza yako moja ukapata mtaji ukanunua Gobole mbili ukaanza uwindaji haramu.

Game resevers fuatilieni huyu mtu mje kumkamata...
 
Una mtaji gani ? Unazo asset ??? Usikute upo huko mabonde kuinama, ugali wa shkamoo alafu umepata smart phone unaingia jf unasema unataka ubilionea !!!
 
Back
Top Bottom