M masenga1122 Member Joined Jan 3, 2015 Posts 6 Reaction score 0 Apr 12, 2015 #1 Habarini za saa hizi waungwana ?samahan naulizia ni biashara gan ya kutoa vitu vijijin na kuvileta mjini inalipa zaid?naomba msaada wenu tafadhali.asanteni
Habarini za saa hizi waungwana ?samahan naulizia ni biashara gan ya kutoa vitu vijijin na kuvileta mjini inalipa zaid?naomba msaada wenu tafadhali.asanteni
jamii01 JF-Expert Member Joined Oct 1, 2010 Posts 1,988 Reaction score 1,437 Apr 12, 2015 #2 Fanya biashara ya mchele,au maharagwe...