Bi Tekka amfungulia Kesi ya madai Dc wa Korogwe

Bi Tekka amfungulia Kesi ya madai Dc wa Korogwe

Gumzo

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2012
Posts
211
Reaction score
9
HATIMAYE Mwanasheria wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe, mkoani Tanga, Bi. Najum Tekka, juzi ametimiza dhamira yake ya kumfungulia kesi Mkuu wa Wilaya hiyo Bw. Mrisho Gambo, kwa madai ya kumdharirisha na kudai fidia ya sh. milioni 96.

Akizungumza na gazeti hili jana, Bi. Tekka alisema kesi hiyo namba saba ya mwaka 2012, ameifungua katika Mahakama ya Wilaya ya Korogwe ili kulinda heshima yake kama mwanamke, "Sijamshtaki Bw. Gambo, kama Mkuu wa Wilaya, nimefanya hivi bila kujali cheo changu wala chake, hata samansi ya kufika mahakamani Septemba 10 mwaka huu, nimeshampa ili kujibu madai yanayomkabili," alisema Bi. Tekka.

Alisema ameamua kuongeza kiwango cha fidia kutoka milioni 90 hadi 96, kutokana na uzito wa jambo hilo juu ya udharirishaji aliofanyiwa na Mkuu wa Wilaya hiyo.

Hivi karibuni, baadhi ya wafanyabiashara wa Soko la Manundu Mjini Korogwe, walidai kusikitishwa na kitendo cha baadhi ya watendaji wa Serikali kushirikiana na wanasiasa ili kukwamisha jitihada mbalimbali za maendeleo zinazofanywa na Bw. Gambo.

Mwenyekiti wa Umoja wa wafanyabiashara sokoni hapo, Bw. Mussa Hussein, alisema hawakubaliani na njama zinazolenga kumdhoofisha ili ashindwe kutimiza wajibu wake ipasavyo.

Wafanyabiashara hao walisema madai aliyotoa Bi. Tekka dhidi ya udharirishaji aliofanyiwa na Bw. Gambo hayana ukweli kwani hivyo kama Mkuu wa Wilaya atashtakiwa mahakamani, wapo tayari kumpa ushirikiano wakiamini madai hayo yamelenga kumchafua pamoja na kufifisha juhudi zake kiutendaji.

CHANZO: GUMZO LA JIJI
 
Huyo Mrisho Gambo amelewa madaraka. Anadhani yupo kwenye malumbano ya uvccm Arusha! Natamani na akina mama wamsapoti mwenzao maana amewadhalilisha wote!
 
Ma DC wa facebook hao!utamtukanaje mtendaji wako matusi ya udhalilishaji namna hiyo?au wanalewa madaraka na kujiona kama bila yeye mambo hataenda!!!
 
Haya mama songa mbele kabisa maana hiv vyeo vya kupewa kishikaji vinafanya hawa viongozi wa kisiasa kuropoka tu. Mpe dawa yake!!! Je ulfanikiwa kurekodi kidogo mambo?
 
HATIMAYE Mwanasheria wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe, mkoani Tanga, Bi. Najum Tekka, juzi ametimiza dhamira yake ya kumfungulia kesi Mkuu wa Wilaya hiyo Bw. Mrisho Gambo, kwa madai ya kumdharirisha na kudai fidia ya sh. milioni 96.

Akizungumza na gazeti hili jana, Bi. Tekka alisema kesi hiyo namba saba ya mwaka 2012, ameifungua katika Mahakama ya Wilaya ya Korogwe ili kulinda heshima yake kama mwanamke, “Sijamshtaki Bw. Gambo, kama Mkuu wa Wilaya, nimefanya hivi bila kujali cheo changu wala chake, hata samansi ya kufika mahakamani Septemba 10 mwaka huu, nimeshampa ili kujibu madai yanayomkabili,” alisema Bi. Tekka.

Alisema ameamua kuongeza kiwango cha fidia kutoka milioni 90 hadi 96, kutokana na uzito wa jambo hilo juu ya udharirishaji aliofanyiwa na Mkuu wa Wilaya hiyo.

Hivi karibuni, baadhi ya wafanyabiashara wa Soko la Manundu Mjini Korogwe, walidai kusikitishwa na kitendo cha baadhi ya watendaji wa Serikali kushirikiana na wanasiasa ili kukwamisha jitihada mbalimbali za maendeleo zinazofanywa na Bw. Gambo.

Mwenyekiti wa Umoja wa wafanyabiashara sokoni hapo, Bw. Mussa Hussein, alisema hawakubaliani na njama zinazolenga kumdhoofisha ili ashindwe kutimiza wajibu wake ipasavyo.

Wafanyabiashara hao walisema madai aliyotoa Bi. Tekka dhidi ya udharirishaji aliofanyiwa na Bw. Gambo hayana ukweli kwani hivyo kama Mkuu wa Wilaya atashtakiwa mahakamani, wapo tayari kumpa ushirikiano wakiamini madai hayo yamelenga kumchafua pamoja na kufifisha juhudi zake kiutendaji.

CHANZO: GUMZO LA JIJI

Huyu dogo atapata wapi hiyo 96mil?
 
HATIMAYE Mwanasheria wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe, mkoani Tanga, Bi. Najum Tekka, juzi ametimiza dhamira yake ya kumfungulia kesi Mkuu wa Wilaya hiyo Bw. Mrisho Gambo, kwa madai ya kumdharirisha na kudai fidia ya sh. milioni 96.

Akizungumza na gazeti hili jana, Bi. Tekka alisema kesi hiyo namba saba ya mwaka 2012, ameifungua katika Mahakama ya Wilaya ya Korogwe ili kulinda heshima yake kama mwanamke, "Sijamshtaki Bw. Gambo, kama Mkuu wa Wilaya, nimefanya hivi bila kujali cheo changu wala chake, hata samansi ya kufika mahakamani Septemba 10 mwaka huu, nimeshampa ili kujibu madai yanayomkabili," alisema Bi. Tekka.

Alisema ameamua kuongeza kiwango cha fidia kutoka milioni 90 hadi 96, kutokana na uzito wa jambo hilo juu ya udharirishaji aliofanyiwa na Mkuu wa Wilaya hiyo.

Hivi karibuni, baadhi ya wafanyabiashara wa Soko la Manundu Mjini Korogwe, walidai kusikitishwa na kitendo cha baadhi ya watendaji wa Serikali kushirikiana na wanasiasa ili kukwamisha jitihada mbalimbali za maendeleo zinazofanywa na Bw. Gambo.

Mwenyekiti wa Umoja wa wafanyabiashara sokoni hapo, Bw. Mussa Hussein, alisema hawakubaliani na njama zinazolenga kumdhoofisha ili ashindwe kutimiza wajibu wake ipasavyo.

Wafanyabiashara hao walisema madai aliyotoa Bi. Tekka dhidi ya udharirishaji aliofanyiwa na Bw. Gambo hayana ukweli kwani hivyo kama Mkuu wa Wilaya atashtakiwa mahakamani, wapo tayari kumpa ushirikiano wakiamini madai hayo yamelenga kumchafua pamoja na kufifisha juhudi zake kiutendaji.

CHANZO: GUMZO LA JIJI

Bi Tekka, well done, this man is hopeless! Ni PM nikupe mawazo how to crucify this blood hopeless power monger so called DC!
 
KOMBAJR usinichekeshe! 96 mil zinapatikana kilaini sana kwa Gambo kwani ni mfuasi wa David cameroon huyo, tumpr pole tu jinsi atakavyolipa, Cameroon akiwa busy kuna waarabu anawafaham huyo

Mkuu unayoyasema unamahanisha?
 
Wanasheria tusaidieni hapa. Huyu Bibi Sheria anazijua sheria? Hii Kesi itakuwa ya Madai au "Defamation"?
 
kwa kuwa suala lipo mahakamani tayari basi tuipe nafasi mahakama ifane kazi yake pasi na kuingilia na kitu kingine chochote.
 
Udhalilishaji huu unatakiwa uchukuliwe hatua ili iwe fundisho kwa hawa MaDC wasiokuwa na hekima,Busala na maadili ya uongozi, eti Degree ya CHUPI hivi hata hicho chuo alichosoma huyo binti wakiamua kumshitaki si watakuwa sahihi, kwamba na wenyewe wana award chupi kwa watahiniwa wao loo aibu.
 
Kwa uelewa wa Haraka Huyo DC alikwenda Kuchukua Rushwa kwa Hao wafanyabiashara ambao kwa haraka naona walikuwa wanafanya Biashara sehemu Isiyoruhusiwa!! Sasa mwanasheria alishawafungulia kesi wahamishiwe sehemu stahiki!! Sasa DC analeta siasa kwenye Utendaji!! Kwani ni Lini Mwanasheria wa Wilaya aka-report kwa DC??
Ila kwa udhalilishaji wa huyo DC Umenifanye Niwaone Wanawake wengi Mbele Yangu Kama wana degree aliyosema Gumbo!! Hivyo ni Bora akinamama wote mkajiunga na kuanzisha umoja wa kutafuta Haki katika huu udhalilishaji!!
 
KOMBAJR usinichekeshe! 96 mil zinapatikana kilaini sana kwa Gambo kwani ni mfuasi wa David cameroon huyo, tumpr pole tu jinsi atakavyolipa, Cameroon akiwa busy kuna waarabu anawafaham huyo

...Mkuu, are you serious ama nyie ni watani wa jadi?
 
Wanasheria tusaidieni hapa. Huyu Bibi Sheria anazijua sheria? Hii Kesi itakuwa ya Madai au "Defamation"?
Hii kesi itakuwa ni DEFAMATION CASE na kesi za aina hii zinatakiwa zifunguliwe MAHAKAMA KUU TU na si MAHAKAMA ZA CHINI YA HAPO.
 
Hii ni ishara tu kwamba mwisho wa CCM umefika, how come viongozi mtukanane hadharani, kwanini asingemwita ofisini na kumpa warning? Wamechanganyikiwa hawa. Wote ni hao hao
 
huyu gambo alishazoea kutukanana matusi ya nguoni na wakina millya,uvccm kule arusha ndiyo maana alimrushia matusi mwanasheria huyu kuwa anadegree ya CHUPI kwa wasomi unapomwambia mwanaMKE anadegreee ya CHUPI maana yake ni kilaza ambaye hakuwa na uwezo wowote wa kusoma na kuhitimu shahada isipokuwa alifanikiwa kuwaonga URODA(NGONO-ALIVULIWA CHUPI) na walimu wake na kisha kusaidiwa kuhitimu!

ni TUSI BAYA na UDHALILISHAJI mkubwa sana KUMTUKANA MWANAMKE MSOMI kama mwanasheria na hT hasikuchukulie hatua!
 
Mh.. Cijaicikia hii Wakuu.. Kwa anaejua naomba anijuze kilitokea nini kati ya huyo dc na mwanasheria huyo mwanasheria wa Halmashauri..
 
huyu gambo alishazoea kutukanana matusi ya nguoni na wakina millya,uvccm kule arusha ndiyo maana alimrushia matusi mwanasheria huyu kuwa anadegree ya CHUPI kwa wasomi unapomwambia mwanaMKE anadegreee ya CHUPI maana yake ni kilaza ambaye hakuwa na uwezo wowote wa kusoma na kuhitimu shahada isipokuwa alifanikiwa kuwaonga URODA(NGONO-ALIVULIWA CHUPI) na walimu wake na kisha kusaidiwa kuhitimu!

ni TUSI BAYA na UDHALILISHAJI mkubwa sana KUMTUKANA MWANAMKE MSOMI kama mwanasheria na hT hasikuchukulie hatua!

BASI NDO TUSEME NA YEYE VYETI VYAKE ALIVYONAVYO NI VYA ******.MAANAKE SIDHANI KAMA ANA DECREE/DIPLOMA HUYU,MSHENZI SANA.OLE WENU SHERIA ISIPOFUATA HAKI,SS NDO WAPIGA KURA.PUMBAFFFFFFFFFFF SANA GAMBO:sleepy:ZIRO MKUBWA WE.
 
Back
Top Bottom