oldd vampire
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 253
- 52
mambo wana jf...betri ya computer yangu pale kwa display inaonesha alama x nyekundu.sijajua nini tatzo..pia halikai mda mref kama ilivo kua inakaa zamani
<br />mambo wana jf...betri ya computer yangu pale kwa display inaonesha alama x nyekundu.sijajua nini tatzo..pia halikai mda mref kama ilivo kua inakaa zamani
comp yako ni aina gani, je ulishawahi kuitoa,au unatumia umeme wa generator ku charge ya laptop.Ila kwa kifupi tu jipange kununua nyingine mkuu
mkubwa hiyo betri ishakufa so u need to replace it na nyingine, kama vp nicheki kwa namba hii 0655-003510 ntakusaidia kupata betri nyingine koz nahusika na ishu za computer. waiting for your callmambo wana jf...betri ya computer yangu pale kwa display inaonesha alama x nyekundu.sijajua nini tatzo..pia halikai mda mref kama ilivo kua inakaa zamani
mambo vp sanja, ebana nicheki na namba 0655-003510 upate hiyo betri.Wakuu nimejaribu kutafuta betry ya ASUS X50RL Series bila mafanikio. Mwenye taarifa msada tafadhari