Betrayal at home

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
2,107
Reaction score
3,029
Watu wote waliohusika ktk usaliti huu juu ya Humphrey Polepole na kutwa na hao watalipia kizazi hadi kizazi chao, Mtu ambae alikuwa mzalendo anapigania haki ya watanzania wanyonge halafu wewe tamaa zako za fedha au vyeo, kwa ajili watoto wako hakika utalipa.

Kama ni wewe Mzee Btk, au ni nyie wasaidizi wake, au ni wewe kwenye nyumba utalipia kwa usaliti wako huo.
Juzi tu ilikuwa unawambia vijana waache uoga ili waikombe nchi yao. Leo hii ghafla unawambia waache vurugu.

Huyu mzee either amekula bahasha au ameshinikizwa kutoa taarifa za HP, kwa vitisho vya kutekwa familia yake. Ngoja tusubili Mungu mlinde HP, popote alipo, zaburi 91: 11 Mungu ibariki Tanzania by mwinjilist wenu Gabeji.

By mwinjilist wenu Gabeji
 
Usaliti
 
Wasaliti wa kwanza ni vijana wa tz
 
binafsi sielewi kwanini hamphrey alikuwa anafanya hayo akiwa hapa hapa,nimeshangaa sana.
Ila kwenye maelezo yake yote hakuna mahali alimtukana mtu! Isipokuwa aliamua kusimama kwenye kile anacho kiamini! Ni bahati mbaya sana ndani ya hizi awamu mbili tumepata bahati mbaya ya kutawaliwa na watu wasiopenda kusikia maoni tofauti na yake wanayo yapenda.
 
Hivi usikute na yeye akapotezwa kirahisi tu kama alivyopotezwa Mdude_Nyagali. Na wananchi tulivyo mazombi, tutabweka siku mbili tatu, halafu maisha yanaendelea!

Dah! Inaumiza sana.
Nashukuru umeanza kuelewa kwanini nilikua nakwambia nyie ni waoga kama Nyumbu atachukuliwa mmoja mmoja hadi muishe kwasababu mikwara yenu inaishia mtandaoni na mmejaa unafiki, siku zote comments na likes zilikua zinajaa kwake kila akiongea kumaanisha mpo pamoja nae leo katekwa mnaishia kusema Mungu yupo, kwanini msiandamane leo hii kwaajili yake na kwaajili ya watu wengine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…