Best Nasso

Best Nasso

Naunga mkono hoja jamaa amekaa kigoroko sana japo tunyimbo twake tutamu
 
kitu tumaaa ni kikali sana. Dj arungu amemsuport sana kijana.
 
Kwa wanaofuatilia muziki wa Tanzania hili sio jina geni..mimi binafsi namkubali huyu jamaa kwani anamashairi na nyimbo za huzuni kama vile Narudi Kijijini.

Hadija kwangu is the best kwa kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom