Hana lolote huyo Membe. Katika watu wasioamini hao wanaccm wachafu, mimi ni mmojawapo. Unaweza kukuta anachimba huo Mkwara, kumbe lengo lake ni kujiwekea mazingira ya kupewa ulaji.
Una ushahidi kwamba mimi ni CCM? Fuatilia michango yangu for the last 10 years na ushee then uje na ushahidi. Wewe ni pimbi tu ambaye umevamia meli hata hujui inakwenda wapi.
Hana lolote huyo Membe. Katika watu wasioamini hao wanaccm wachafu, mimi ni mmojawapo. Unaweza kukuta anachimba huo Mkwara, kumbe lengo lake ni kujiwekea mazingira ya kupewa ulaji.