Uchaguzi 2020 Bernard Membe is a real deal. Membe for president!

Kashafanya Nini Cha kukumbukwa Kama kiongozi tangu azaliwe?
Membe hana chochote zaidi ya kujifaragua tu katika kipindi chote cha uwaziri sijawahi kumuona Membe kama stateman zaidi ya kuwa mlamba miguu ya Kikwete ili aendelee kuwa waziri.

To me Membe is a liability not an asset.
 
Hivi huko upinzani mna Zitto,Tundulisu kisha mnahangaika na Membe kiukweli muda mwingine upinzan huwa siwaelewi.Simamishen mgombea mmoja either Tundu Lissu au Zitto Kabwe muachane na hao wanaotoka CCM.
Membe ndiye mgombea wa kiti cha Urais kupitia CCM mwaka huu ni suala la muda tu alisha sema kuanzia sasa hadi October ni parefu lolote laweza tokea huyo ndiye Membe.
 
Membe ni kama Lowassa 2015, yuko kuwachezesha shere wapinzani. After election you won't hear him say anything, and after few months atarudi 'home'
 
Eti Membe “must be president at all costs..”. Watu mna matani ya rejareja. Membe huyuhuyu wa enzi za “dhaifu”?
 
Membe anaweza kuwa rais lakini syo kwenye uchaguzi wa mwaka huu. Membe hana followers wengi kama aliokuwa nao Lowassa ambapo CCM ilikuwa na mtikisiko wakati huo. Leo hii Membe ni kelele na frustrations za kuukosa urais tu, hana wafuasi wa kuidhoofisha CCM kabisa, labda wafuasi wa Dar es salaama tu, lakini huko vijijini kwenye 90% ya wapiga kura hakuna anayemjua Membe...

Tukiendelea kumvumilia aliyepo hali ya demokrasia yetu itakuwaje?, Ataiua kabisa, maana huyu anataka udikteta nchini

Bora tumchallenge tuwaache wananchi waamue kwani shida ni nini?
 
Membe ni raia huru ana haki ya kujiunga chama chochote cha siasa
Sawa, lakini hakuna haja ya ku recycle watu toka CCM ambao takwa lao kubwa ni kuwa Rais lakini hawajawahi kujionyesha kukerwa na matatizo makubwa ya nchi hii, kama rushwa ya viwango vikubwa, ukandamizaji wa haki za raia, kupigwa risasi kwa mbunge, uzuiaji wa vyama vya upinzani kufanya shughuli za kisiasa n.k. Lisu au Zitto wanatosha. Kama anataka kujiunga na chama cha upinzani, sawa ila asiwe presidential candidate.

Bado tunasubiri maelezo yake alioahidi ya faida ya safari nyingi za JK nje ya nchi.
 
Hivi huko upinzani mna Zitto,Tundulisu kisha mnahangaika na Membe kiukweli muda mwingine upinzan huwa siwaelewi.Simamishen mgombea mmoja either Tundu Lissu au Zitto Kabwe muachane na hao wanaotoka CCM.
Hakuna cha upinzani wala cha chama tawala kwa sasa kuna emergency inayohitaji kila mtanzania kuchagua baina ya ukandamizaji huu uliopo uendelee au unafuu. Kwa maana hii ni kwamba anything is better but Mkulu kwa sasa!
Hali ya uongozi tulionayo Tz. kwa sasa, hatofautiani sana na ya US, kwa sasa kipaumbele cha wamarekani wengi ni kwamba Trump atoke white house. Hivyo hivyo hapa Tz sasa hivi tuna emergency... nayo ni kuhakikisha huyu jamaa harudi! kwa maana kwamba anything is better but him!
Tanzania kwanza, madoido baadae!
 
Which country are you referring as Tanzania, and which president with name Magufuli are you referring? If it is the same Tanzania (the United republic) and the Magufuli (Dr. John Joseph Pombe Magufuli)...then you are talking and writing rubbish, and you don't have any clue to how embraced to the ❤️ of Tanzanian is the president Magufuli is!
The way things are going on in this part of the world, the horror of the dictatorial regime, we the people of Tanzania have no choice except to vote out president Magufuli in the forthcoming elections in october this year.

President Magufuli has squandered a good opportunity to build a nation rooted in the values of democracy, human rights and adherence to rule of law unlike his predecessors who themselves were not angels but played constructive roles in building up our democracy to respectable levels in Africa and the world at large.

In this regime, there has been gross human rights violations, people incarcerated with sham dubious charges and some charged to pay exorbitant sum of money to buy their freedoms on what is vividly clear, an extortion mafia like schemes.

Even people who dissapeared, whose wherebouts are up to this moment unknown, there isn't any enthusiasim from the regime to investigate their dissappearance. This leaves behind a lot of unanswered questions.

Meanwhile the economy is only growing on papers while in the streets life is extremely tough. The government is not employing in large scales compared to the former government. A lot of young people are in the streets, hopeless, stranded seeking jobs to a no avail. Life is continously becoming unbearable.

At the same time the external debt is skyrocketing, a lot of money is being borrowed to service these mega projects which some are typically white elephant. Some Projects such as building airport in Chato, a birth place of president Magufuli, an airport which by all standards is not a priority are of little value economically and consumes a lot of money.

Also the public service is not in good shape as this government hasn't paid attention whatsoever to the public servant. Since president Magufuli came into office, Public servants have their legally entitled benefits trumped on by this government. While in the former government there was an annual salary increments and normal year to year promotions. This is hurting workers today and it will hurt them when they retire.

That is when we rightly asses that this election is a do or die election. In this election there is nobody who is well prepared, who can defeat president Magufuli and who can clean up tje mess created by this regime than the renowned diplomat and a former spy Bernard Cammilius Membe.

Membe has served this nation with high Integrity, he is a proponent of rule of law and respect for the constitution and abbhors politics of "terror".

The first thing Membe has to do when he is sworn into office is to bring a national reconciliation process, healing wounds caused by president Magufuli's "hurt all that oppose me" politics.

Membe shall work on the issue of the economy, solve the unemployment problem, create a functioning economy that will put our youth to work!

Also Bernard Membe will bring back the new constitution process on track as we have witnessed in these five years how bad our 1977 constitution is!. With this constitution, it is more like we have put all our eggs in. one basket. There is too much power in the hands of one person, this is absolutely dangerous as if he skrews things he can skrew them to the detriment of the whole nation and he can't be held accountable as this constitution still protects him from being sued.

With Membe at the helm, our diplomacy will once again be a shining example in Africa. And he will be able to impement his vision of economic diplomacy which he instituted when he was a foreign minister in the former government.

So stakes are too high, we certainly can't afford five more years of the massive propaganda propelled regime. We need a man in the office who will do a job rightly, justly and with high level of Integrity.

Membe is a right man for the Job

2020 Membe for president
2020 Twende na Membe
 
Back
Top Bottom