Bentley Mulsanne 2013 ndani ya Tanzania

Bentley Mulsanne 2013 ndani ya Tanzania

Wi-Fi

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2011
Posts
2,091
Reaction score
1,386
Inamilikiwa na SANYAY SUCHAK ambaye ni Managing Director wa African Risk & Insurance Services Ltd (ARIS) - Tanzania

Inasemekana ni gari la thamani zaidi East and Central Africa, Gari hili mpaka limetua Bandari ya Dar-es-salaam lilikua limefikia around 1billion!!!



images
images
images
9k=
images
images
 
hili la 1b litapita katika barabara zetu zenye matuta na milima hapa daaslam...?
 
Nimeliona limepaki hapa habour view tower samora muda mrefu kidogo. Ni machine ya haja lina cc6752 za petrol liter twin turbocharged V8 engine, 8 automatic transmission na bei ya manunuzi bila kodi ya TRA ni usd 285,000 tu.
 
Aje nalo uswahili tulichubua na kulitia pancha hehehe! Ujinga mtupu
 
1billion = How many Vitz?
Solution:
1 billion = 1000 Millions

Let say 1 Vitz = 10 Millions
? =1000 Millions
If you cross multiply the equation,
= 1000/10
= 100

Therefore 1 Bentley = 100 Vitz in terms of purchasing cost

Du kiukweli gari ni zuri sana hakuna asiye penda mazuri hata mimi ningekuwa na uwezo huo ningeimiliki hii ndinga. Ila kwa maisha ya kawaida hizi cc6752 ni balaa
 
Tatizo sio gharama yake bali utasikia limepita bila kulipwa kodi kama ushuru wa uwekezaji mchezo huo unatumiwa pia na viongozi wa dini
 
Back
Top Bottom