GE2025 Benson Kigaila: Vijana wana uwezo wa kuipelekea CCM likizo ya bila malipo

GE2025 Benson Kigaila: Vijana wana uwezo wa kuipelekea CCM likizo ya bila malipo

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Bara, Benson Kigaila, ametoa wito kwa watanzania, hususan vijana, kujitokeza kwa wingi kushiriki kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 kwa kupiga kura ili kuleta mabadiliko ya kweli nchini.

Akizungumza Agosti 10, 2025 katika kongamano la kuelekea siku ya vijana Duniani, Kigaila amesema ni wakati sasa kwa vijana kutumia kura zao kufanya maamuzi ya msingi kwa hatma ya taifa, badala ya kuwa wasindikizaji wa mchakato wa kisiasa.

“Ni muda wa kufanya mabadiliko, vijana tukitumia nguvu yetu ya kura tunaweza kukipeleka Chama Cha Mapinduzi likizo isiyo na malipo,” Kigaila.

Aidha, amesema kuwa endapo CHAUMMA itapata ridhaa ya kuunda Serikali, italeta mageuzi makubwa kwenye sekta ya elimu kwa kutoa elimu bure kuanzia ngazi ya msingi hadi chuo kikuu ili kumpunguzia mzigo kijana wa kitanzania na kumwezesha kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa taifa.

Kwa upande wake, mratibu wa kongamano hilo la vijana, Mkola Masoud, amesema lengo kuu la kongamano hilo ni kuhamasisha vijana kuwa sehemu ya maamuzi ya kisiasa kwa kushiriki kikamilifu katika uchaguzi, badala ya kusubiri kushangilia maamuzi ya wengine.

“Tunataka vijana wasiwe watazamaji wala wasindikizaji wa siasa,Tunataka wawe sehemu ya mabadiliko ya kweli kupitia sanduku la kura,” Masoud.

Screenshot 2025-08-10 210737.png
 
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Bara, Benson Kigaila, ametoa wito kwa watanzania, hususan vijana, kujitokeza kwa wingi kushiriki kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 kwa kupiga kura ili kuleta mabadiliko ya kweli nchini.

Akizungumza Agosti 10, 2025 katika kongamano la kuelekea siku ya vijana Duniani, Kigaila amesema ni wakati sasa kwa vijana kutumia kura zao kufanya maamuzi ya msingi kwa hatma ya taifa, badala ya kuwa wasindikizaji wa mchakato wa kisiasa.

“Ni muda wa kufanya mabadiliko, vijana tukitumia nguvu yetu ya kura tunaweza kukipeleka Chama Cha Mapinduzi likizo isiyo na malipo,” Kigaila.

Aidha, amesema kuwa endapo CHAUMMA itapata ridhaa ya kuunda Serikali, italeta mageuzi makubwa kwenye sekta ya elimu kwa kutoa elimu bure kuanzia ngazi ya msingi hadi chuo kikuu ili kumpunguzia mzigo kijana wa kitanzania na kumwezesha kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa taifa.

Kwa upande wake, mratibu wa kongamano hilo la vijana, Mkola Masoud, amesema lengo kuu la kongamano hilo ni kuhamasisha vijana kuwa sehemu ya maamuzi ya kisiasa kwa kushiriki kikamilifu katika uchaguzi, badala ya kusubiri kushangilia maamuzi ya wengine.

“Tunataka vijana wasiwe watazamaji wala wasindikizaji wa siasa,Tunataka wawe sehemu ya mabadiliko ya kweli kupitia sanduku la kura,” Masoud.

Masoud ameongeza kuwa ipo haja ya kuwepo kwa jukwaa maalum la utoaji wa elimu ya uraia na elimu ya kisiasa kwa vijana ili kuwajengea uelewa mpana kuhusu haki yao ya kupiga kura na umuhimu wa kushiriki katika masuala ya kijamii na kisiasa.

Kongamano hilo limekuwa sehemu ya mikakati ya CHAUMMA kuhamasisha ushiriki wa vijana katika siasa, kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025.

530308668_18113316724513179_4670301601387011941_n.webp.jpg
529131862_18113316703513179_8229711239905998498_n.jpeg
 
Labda kwanza tuwapeleke Kenya kwanza wakajifunze kwa wenzao wa G-Z , lakini hawa wa kwetu siyo leo kuja kufikia hatua ya kutambua Haki na nguvu walizo nazo katika kuleta Mabadiriko kwenye Taifa. Mpaka wajikomboe kwanza Kifikra na kutambua uwezo walio nao na wajibu wao pia katika Taifa..
 
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Bara, Benson Kigaila, ametoa wito kwa watanzania, hususan vijana, kujitokeza kwa wingi kushiriki kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 kwa kupiga kura ili kuleta mabadiliko ya kweli nchini.

Akizungumza Agosti 10, 2025 katika kongamano la kuelekea siku ya vijana Duniani, Kigaila amesema ni wakati sasa kwa vijana kutumia kura zao kufanya maamuzi ya msingi kwa hatma ya taifa, badala ya kuwa wasindikizaji wa mchakato wa kisiasa.

“Ni muda wa kufanya mabadiliko, vijana tukitumia nguvu yetu ya kura tunaweza kukipeleka Chama Cha Mapinduzi likizo isiyo na malipo,” Kigaila.

Aidha, amesema kuwa endapo CHAUMMA itapata ridhaa ya kuunda Serikali, italeta mageuzi makubwa kwenye sekta ya elimu kwa kutoa elimu bure kuanzia ngazi ya msingi hadi chuo kikuu ili kumpunguzia mzigo kijana wa kitanzania na kumwezesha kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa taifa.

Kwa upande wake, mratibu wa kongamano hilo la vijana, Mkola Masoud, amesema lengo kuu la kongamano hilo ni kuhamasisha vijana kuwa sehemu ya maamuzi ya kisiasa kwa kushiriki kikamilifu katika uchaguzi, badala ya kusubiri kushangilia maamuzi ya wengine.

“Tunataka vijana wasiwe watazamaji wala wasindikizaji wa siasa,Tunataka wawe sehemu ya mabadiliko ya kweli kupitia sanduku la kura,” Masoud.

View attachment 3437798
Wakati wao wamelipwa
 
Wanawachukua uvccm na kina mama wa ccm wanawavalisha nguo za chaumma waonekane wanna wanachama😄
 
Hata kichaa anajua kuwa hawa ni madalali wa lumumba...mwaka huu hakuna MTU ataenda kupoteza Kura yake
 
Wanawachukua uvccm na kina mama wa ccm wanawavalisha nguo za chaumma waonekane wanna wanachama😄
Huu utapeli hata Mbatia aliufanya uchaguzi wa 2020 alipoingizwa mjini na Magufuli kuwa atafanywa chama kikuu cha upinzani. Nakumbuka alikwenda Mbeya na ndege ya ATCL, akapokelewa na mkuu wa mkoa wa Mbeya, siku hiyo akajaziwa uwanja na wanaccm waliovalishwa sare za NCCR, kisha akawapokea madiwani wa cdm waliokuwa wanasubiri kwenda kuunga juhudi. Kilichotokea baada ya kampeni kuanza cdm ikawa inapata nyomi la hatari, wanaccm ikabidi wabaki na chama chao, huku NCCR ikiwa haina watu. Magufuli kuona vyama mapandikizi yake yanakosa watu, ikabidi apore uchaguzi kuliko kutangaza majimbo waliyoshinda cdm.
ChoiceVariable
 
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Bara, Benson Kigaila, ametoa wito kwa watanzania, hususan vijana, kujitokeza kwa wingi kushiriki kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025 kwa kupiga kura ili kuleta mabadiliko ya kweli nchini.

Akizungumza Agosti 10, 2025 katika kongamano la kuelekea siku ya vijana Duniani, Kigaila amesema ni wakati sasa kwa vijana kutumia kura zao kufanya maamuzi ya msingi kwa hatma ya taifa, badala ya kuwa wasindikizaji wa mchakato wa kisiasa.

“Ni muda wa kufanya mabadiliko, vijana tukitumia nguvu yetu ya kura tunaweza kukipeleka Chama Cha Mapinduzi likizo isiyo na malipo,” Kigaila.

Aidha, amesema kuwa endapo CHAUMMA itapata ridhaa ya kuunda Serikali, italeta mageuzi makubwa kwenye sekta ya elimu kwa kutoa elimu bure kuanzia ngazi ya msingi hadi chuo kikuu ili kumpunguzia mzigo kijana wa kitanzania na kumwezesha kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa taifa.

Kwa upande wake, mratibu wa kongamano hilo la vijana, Mkola Masoud, amesema lengo kuu la kongamano hilo ni kuhamasisha vijana kuwa sehemu ya maamuzi ya kisiasa kwa kushiriki kikamilifu katika uchaguzi, badala ya kusubiri kushangilia maamuzi ya wengine.

“Tunataka vijana wasiwe watazamaji wala wasindikizaji wa siasa,Tunataka wawe sehemu ya mabadiliko ya kweli kupitia sanduku la kura,” Masoud.

View attachment 3437798
Ataenda yeye likizo tena ugenini mkataahome mtumwa
 
Huyu kiazi anagombea jimbo gani? 😁
Kuna watu wanampaga kura huyu? 😆
 
Back
Top Bottom