Benki yenye Fixed Deposit Account NZURI

City bank,ni international bank ndio haina matawi lakini ipo pote duniani,sio wababaishaji,hivi unakumbuka wale matapeli walikuwa wanaitwa meridian biao bank????waliondoka na pesa za watu wengi sana,Sawa na hizo bank jamaa alizotaja hapo juu ECO!!!!!!!!
 
Ndg wana JF habari zenu na poleni kwa shughuli za maendeleo ya nchi yetu.

Naomba mwenye uelewa au ufahamu wa benki yenye Fixed Deposit itakayo nizalishia PESA zangu na ku multiply reasonably
within 2 to 3 years atleast.

Nina almost 3M ambazo for the time being sina nazo kazi until maybe 5 years to come. Lakini kama hiyo benki itakuwa nzuri zaidi naweza kuacha pesa zangu even for next 15 years for my children tuition fee.

Please guyz if anybody is aware of such bank, i would like to know.

WISHING YOU A SUCCESSFUL NEW YEAR.

Datoga nakushauri ununue ardhi popote pale then panda miti mpakani au rondamly na iache for 5 - 15yrs then iuze utashangaa na wala hutojuta maana ardhi ina appreciate value. I did it and I know what I'm talking about. Na naweza kukusaidia upande shamba ama kiwanja.

alfredmkohiatgmaildotcom
 
fungua sacos yako kwa wafabiashara ndogo kama,mama ntilie,wachoma maandazi,vitumbua nk wanalipa zaidi kuliko benki kwa kiasi hicho ulichonacho
Lingepatikana jibu la hapa wengi tungeelewa kwa maana pale juu hata mimi sijaambulia jambo
 
Back
Top Bottom