tusitishane jamani, ila i hope BOT itakuwa na utaratibu wa kumlinda mteja pindi benki inapotangazwa mufilisi
Namba ya matawi sio kigezo cha safety/soundness ya bank...mfano citi bank haina matawi kbsa, but it's one of the strongest in the market.
Hizi banks ndogondogo zenye matawi kumi tu nchi nzima,hazikawii kufungwa,Kuwa makini sana