Ng'wanza Madaso
JF-Expert Member
- Oct 21, 2008
- 2,268
- 338
04/21/2010
Benki ya Exim imefungua kadi za VISA PLATIMUN na MasterCard kwa ajili ya malipo kwa njia ya mtandao.
Pichani ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Exim, Sabetha Mwambenja, akitoa maelezo kwa waandishi wa habari. Amesema kuwa kadi hizo zitakuwa na uwezo wa kulipia malipo ndani na nje ya nchi.
Source:Wavuti.com
Benki ya Exim imefungua kadi za VISA PLATIMUN na MasterCard kwa ajili ya malipo kwa njia ya mtandao.
Pichani ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Exim, Sabetha Mwambenja, akitoa maelezo kwa waandishi wa habari. Amesema kuwa kadi hizo zitakuwa na uwezo wa kulipia malipo ndani na nje ya nchi.
Source:Wavuti.com