Napenda kuwashauri BOT waikague vizuri hii kampuni ya Wacanada.
Je, hii kampuni inalipa kodi toka imeanzishwa?
Je, insjiendesha kwa kufuata regulations zote?
Naomba mfuatilie kwa undani maana ipo kwa zaidi ya miaka 4 sasa..
Acha wivu! Isije ikawa umenyimwa mkopo ndy unakuja kuwachafulia humu.Napenda kuwashauri BOT waikague vizuri hii kampuni ya Wacanada.
Je, hii kampuni inalipa kodi toka imeanzishwa?
Je, inajiendesha kwa kufuata regulations zote?
Naomba mfuatilie kwa undani maana ipo kwa zaidi ya miaka 4 sasa..
Mkuu waanzie wapi?Napenda kuwashauri BOT waikague vizuri hii kampuni ya Wacanada.
Je, hii kampuni inalipa kodi toka imeanzishwa?
Je, inajiendesha kwa kufuata regulations zote?
Naomba mfuatilie kwa undani maana ipo kwa zaidi ya miaka 4 sasa..
Kwa taarifa yako serikali inamiliki hisa zaidi ya 50% mwny taasisi hiyo ya fedha!
Huu ni uongo mtupu
Napenda kuwashauri BOT waikague vizuri hii kampuni ya Wacanada.
Je, hii kampuni inalipa kodi toka imeanzishwa?
Je, inajiendesha kwa kufuata regulations zote?
Naomba mfuatilie kwa undani maana ipo kwa zaidi ya miaka 4 sasa..
chuki ni buree
Ukishathibitisha kuwa ni uongo naomba urudi tena hapa, ila km hujui unachobisha basi fyata mkia
Utapoteza muda wako bure mauditor wengi wa BOT/TRA ni vilaza ni rahisi kuwadanganya kwa ufupi majibu ya maswali yote mawili ni HAPANA.
Napenda kuwashauri BOT waikague vizuri hii kampuni ya Wacanada.
Je, hii kampuni inalipa kodi toka imeanzishwa?
Je, inajiendesha kwa kufuata regulations zote?
Naomba mfuatilie kwa undani maana ipo kwa zaidi ya miaka 4 sasa..
Napenda kuwashauri BOT waikague vizuri hii kampuni ya Wacanada.
Je, hii kampuni inalipa kodi toka imeanzishwa?
Je, inajiendesha kwa kufuata regulations zote?
Naomba mfuatilie kwa undani maana ipo kwa zaidi ya miaka 4 sasa..