Benki inaungua

Benki inaungua

NAMTUMBA

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
1,939
Reaction score
600
Jamani naomba msaada wa haraka.

Mwenzenu nimezichanga kibishibishi zilifika 110 milion kwenye akaunti. Cha ajabu sasa kila biashara naiona haifai tena hata ile yamwanzo naiona ngumu alafu najisikia uvivu na pesa haiongezeki tena inazidi kupungua.

Nimejigundua natumia pesa kwa kasi juzi nimecheki nimekuta 98m na sijui nimetumiaje na sikumbuki kama nilihonga. Cha ajabu nikitoka ATM kuchukua pesa kila mwanamke namuona mzuriii!!!.

Sasa mwajameni nimerogwa au pepo limeniingia? Nifanyaje kuilinda hii amount nisije nikafulia mwenzenu.
 
Kajenge nyumba fasta tena wahi haraka.usipofanya hivyo nakupa miez mitatu tu no longer
 
Jamani naomba msaada wa haraka.

Mwenzenu nimezichanga kibishibishi zilifika 110 milion kwenye akaunti. Cha ajabu sasa kila biashara naiona haifai tena hata ile yamwanzo naiona ngumu alafu najisikia uvivu na pesa haiongezeki tena inazidi kupungua. Nimejigundua natumia pesa kwa kasi juzi nimecheki nimekuta 98m na sijui nimetumiaje na sikumbuki kama nilihonga. Cha ajabu nikitoka ATM kuchukua pesa kila mwanamke namuona mzuriii!!!. Sasa mwajameni nimerogwa au pepo limeniingia? Nifanyaje kuilinda hii amount nisije nikafulia mwenzenu.

Hujatulia wewe tumia zote zikiisha utapata appetite ya kutafuta nyengine.
 
Kama huwezi kufanya biashara, na kama utaridhika na kipato cha kama laki tisa kwa mwezi, weka fedha hiyo yote UTT mfuko wao wa Jikimu. Utakula magawio maisha yako yote ilimradi huuzi hivyo vipande vya UTT.
 
Jamani naomba msaada wa haraka.

Mwenzenu nimezichanga kibishibishi zilifika 110 milion kwenye akaunti. Cha ajabu sasa kila biashara naiona haifai tena hata ile yamwanzo naiona ngumu alafu najisikia uvivu na pesa haiongezeki tena inazidi kupungua. Nimejigundua natumia pesa kwa kasi juzi nimecheki nimekuta 98m na sijui nimetumiaje na sikumbuki kama nilihonga. Cha ajabu nikitoka ATM kuchukua pesa kila mwanamke namuona mzuriii!!!. Sasa mwajameni nimerogwa au pepo limeniingia? Nifanyaje kuilinda hii amount nisije nikafulia mwenzenu.

Bora nilikuacha maana sahizi ungekuwa unanifanya nishindwe kuwatizama mashostito wangu miss neddy, ICHANA Bantu lady...nilikuwa najitamba umetulia kumbe kha,
Kama inaungua wacha nikusaidie kuhifadhi zilizobaki
 
Last edited by a moderator:
Pole mkuu,tupilia mbali ATM card jivunje miguu kwa makusudi usiende benki mwaka mzima wakat huo ukifikria cha kufanya na hzo pesa
 
Jamani naomba msaada wa haraka.

Mwenzenu nimezichanga kibishibishi zilifika 110 milion kwenye akaunti. Cha ajabu sasa kila biashara naiona haifai tena hata ile yamwanzo naiona ngumu alafu najisikia uvivu na pesa haiongezeki tena inazidi kupungua. Nimejigundua natumia pesa kwa kasi juzi nimecheki nimekuta 98m na sijui nimetumiaje na sikumbuki kama nilihonga. Cha ajabu nikitoka ATM kuchukua pesa kila mwanamke namuona mzuriii!!!. Sasa mwajameni nimerogwa au pepo limeniingia? Nifanyaje kuilinda hii amount nisije nikafulia mwenzenu.

Wanawake walio wengi humu wana kazi zinazowapa kipato, jaribu kwenda Facebook labda watatishika na hiyo tarakimu kama ndio mtego wako
 
Kama huwezi kufanya biashara, na kama utaridhika na kipato cha kama laki tisa kwa mwezi, weka fedha hiyo yote UTT mfuko wao wa Jikimu. Utakula magawio maisha yako yote ilimradi huuzi hivyo vipande vya UTT.

Ansante mkuu nisaidie contact za hao UTT.
 
Wanawake walio wengi humu wana kazi zinazowapa kipato, jaribu kwenda Facebook labda watatishika na hiyo tarakimu kama ndio mtego wako

Unaleta utani kwani nimekuambia natafuta mchumba? Mimi sio wa hivyo alafu kutongoza hakuna limit.
 
Jamani naomba msaada wa haraka.

Mwenzenu nimezichanga kibishibishi zilifika 110 milion kwenye akaunti. Cha ajabu sasa kila biashara naiona haifai tena hata ile yamwanzo naiona ngumu alafu najisikia uvivu na pesa haiongezeki tena inazidi kupungua. Nimejigundua natumia pesa kwa kasi juzi nimecheki nimekuta 98m na sijui nimetumiaje na sikumbuki kama nilihonga. Cha ajabu nikitoka ATM kuchukua pesa kila mwanamke namuona mzuriii!!!. Sasa mwajameni nimerogwa au pepo limeniingia? Nifanyaje kuilinda hii amount nisije nikafulia mwenzenu.

Lete 98m zako tuchange na zangu...alafu niende China/Dubai kuleta mali, hapo biashara itachangamka!
 
Jamani naomba msaada wa haraka.

Mwenzenu nimezichanga kibishibishi zilifika 110 milion kwenye akaunti. Cha ajabu sasa kila biashara naiona haifai tena hata ile yamwanzo naiona ngumu alafu najisikia uvivu na pesa haiongezeki tena inazidi kupungua. Nimejigundua natumia pesa kwa kasi juzi nimecheki nimekuta 98m na sijui nimetumiaje na sikumbuki kama nilihonga. Cha ajabu nikitoka ATM kuchukua pesa kila mwanamke namuona mzuriii!!!. Sasa mwajameni nimerogwa au pepo limeniingia? Nifanyaje kuilinda hii amount nisije nikafulia mwenzenu.

Yaani, kama akili ingekuwa ndo KIUNGO CHA UZAZI, wewe ungekuwa huzai
 
Msituletee utani jamani jukwaa hili sio la maskhara hata kidogo. Wengine tunahaha kutafta mtaji nyie mwajitajia umiliki mijihela yote hiyo. Si ni bora ukanikopesha mimi japo hata 7% ya hiyo hela then aftr 5months nikurudishie 7%+1m interest each month.
Sio mambo jamani the world isnt fair at all!
 
Bora nilikuacha maana sahizi ungekuwa unanifanya nishindwe kuwatizama mashostito wangu miss neddy, ICHANA Bantu lady...nilikuwa najitamba umetulia kumbe kha,
Kama inaungua wacha nikusaidie kuhifadhi zilizobaki

Hapana sio tabia yangu nahisi ni tatizo la gafla.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom