Rock City
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,266
- 501
Salaam wakuu,
Kwa wale wazoefu, naomba msaada wa kujua yafuatayo ili kunisaidia katika nikusudiayo kuyatekeleza.
1. Ni benki gani nzuri Tanzania kwa huduma za kampuni binafsi, kwa huduma za kikampuni?
2. Ni benki gani ambayo mimi kama mteja mwenye kampuni nikaitumia kwa huduma za kawaida, na ambayo, iwapo nikapata mradi mkubwa katika biashara zangu wakaweza kunisaidia mkopo wa haraka katika kuutekeleza na kuufanikisha mradi niliopata mkononi.
3. Ni benki gani ambayo inaweza kunihudumia mimi kama kampuni na ambayo inaweza kutoa huduma za O.D (Over Draft), na taratibu zao zikoje?
4. Kwa aina ya frauds na theft ilivyo katika mabenki yetu, ni benki gani itakayonisaidia kuhudumiwa kwa usalama na usalama wa amana niliyoikabidhi benki husika kunihifadhia?
Kwa hayo, natanguliza heshima mbele na naomba msaada wa kuelimishwa na kueleweshwa juu ya yote hapo juu.
Wasalaam,
R.C
Kwa wale wazoefu, naomba msaada wa kujua yafuatayo ili kunisaidia katika nikusudiayo kuyatekeleza.
1. Ni benki gani nzuri Tanzania kwa huduma za kampuni binafsi, kwa huduma za kikampuni?
2. Ni benki gani ambayo mimi kama mteja mwenye kampuni nikaitumia kwa huduma za kawaida, na ambayo, iwapo nikapata mradi mkubwa katika biashara zangu wakaweza kunisaidia mkopo wa haraka katika kuutekeleza na kuufanikisha mradi niliopata mkononi.
3. Ni benki gani ambayo inaweza kunihudumia mimi kama kampuni na ambayo inaweza kutoa huduma za O.D (Over Draft), na taratibu zao zikoje?
4. Kwa aina ya frauds na theft ilivyo katika mabenki yetu, ni benki gani itakayonisaidia kuhudumiwa kwa usalama na usalama wa amana niliyoikabidhi benki husika kunihifadhia?
Kwa hayo, natanguliza heshima mbele na naomba msaada wa kuelimishwa na kueleweshwa juu ya yote hapo juu.
Wasalaam,
R.C